Ukishatambua wapi ulipokosea, wewe tubu

Ukishatambua wapi ulipokosea, wewe tubu

Joined
Jul 30, 2025
Posts
97
Reaction score
324
Ndugu zangu watanzania ukweli Leo nimebubujikwa na machozi mengi ya furaha baada ya kuona Wana JamiiForums wenzaungu wamenisamehe na kuniona mi ni mwenzao na ukweli nimetubu dhambi zangu mana nilikuwa nimechagua njia ya uovu na Sasa nimerudi kwenye njia ya haki na naimani sitapotea Tena ndugu zangu watanzania

Mniombee ndugu yenu mpambanaji wenu na naapa tarehe 13 nitakuwepo kisutu kufatilia kesi ya shujaa wetu raisi wetu kipenzi chetu na baba yetu TUNDULISU naomba watanzania wote kwa ujumla tumuombee Dua mkombozi wetu mana anaenda kuachiwa na kuwa huru na kwenda kuchukua ikulu nami nimechagua njia ya haki na naombeni ndugu zangu rafiki zangu kaka zangu dada zangu tuungane kumtetea shujaa wetu TUNDULISU

Maana ndo mkombozi wetu na hakika furaha aliyokua nayo gerezani Kuna mtu yupo uraiani Hana basi itoshe kusema lisu ndo kiongozi anayetufaa watanzania wapenda haki na usawa wa kisheria Mungu Ibaliki CHADEMA mungu mbaliki TUNDULISU Mungu Ibariki TANZANIA
 
Wanyiha mnajulikana kwa roho mbaya.

Sasa nawaita ndugu Lucas Mwashambwa na ndugu Lucas Mwashamba mmalizane kule kumbozi.

Hapa naongea kama kaka yenu Mwampashe
 
Ndugu zangu watanzania ukweli Leo nimebubujikwa na machozi mengi ya furaha baada ya kuona Wana JamiiForums wenzaungu wamenisamehe na kuniona mi ni mwenzao na ukweli nimetubu dhambi zangu mana nilikuwa nimechagua njia ya uovu na Sasa nimerudi kwenye njia ya haki na naimani sitapotea Tena ndugu zangu watanzania

Mniombee ndugu yenu mpambanaji wenu na naapa tarehe 13 nitakuwepo kisutu kufatilia kesi ya shujaa wetu raisi wetu kipenzi chetu na baba yetu TUNDULISU naomba watanzania wote kwa ujumla tumuombee Dua mkombozi wetu mana anaenda kuachiwa na kuwa huru na kwenda kuchukua ikulu nami nimechagua njia ya haki na naombeni ndugu zangu rafiki zangu kaka zangu dada zangu tuungane kumtetea shujaa wetu TUNDULISU

Maana ndo mkombozi wetu na hakika furaha aliyokua nayo gerezani Kuna mtu yupo uraiani Hana basi itoshe kusema lisu ndo kiongozi anayetufaa watanzania wapenda haki na usawa wa kisheria Mungu Ibaliki CHADEMA mungu mbaliki TUNDULISU Mungu Ibariki TANZANIA
TUndu Lissu ni Kama Daudi tu, hata kama ni ID mkanganyiko, ulicho andika ni cha kweli.
 
Igeni na langu
Ila kiukweli Lucas Mwashamba na Lucas Mwashambwa ni majina mawili tofauti na hayana uhusiano.

Roho mbaya ya kinyiha ndio inawatafuna.
 
Igeni na langu
Ila kiukweli Lucas Mwashamba na Lucas Mwashambwa ni majina mawili tofauti na hayana uhusiano.

Roho mbaya ya kinyiha ndio inawatafuna.
Kitanda hakizai haramu ila huyu Lukas mwashambwa yeye ni mwanaume nusu na Mimi ni mwanaume niliyekamilika kwahiyo ni kweli tupo tofauti
 
Back
Top Bottom