Ukisha kumaliza kula chakula tafadhali usifanye haya mambo 7 ni hatari kwa afya yako

unatuonea sana sie washahili umeanza vizuri nje ndani ukaweka kizungu ninamatatizo na hii lugha ze zi wa nyingi af sielewei by z wy shukran
 
unatuonea sana sie washahili umeanza vizuri nje ndani ukaweka kizungu ninamatatizo na hii lugha ze zi wa nyingi af sielewei by z wy shukran
Bibie ummu kulthum


1.Usivute sigara - Majaribio kutoka kwa wataalam inathibitisha kwamba uvutaji sigara baada ya mlo ni kulinganishwa na uvutaji sigara 10 (nafasi ya kupata kansa ni ya juu zaidi )


2. Usile matunda mara baada ya kwisha kula - Mara kula matunda baada ya chakula itakuwa na kusababisha tumbo kuvimbirwa na hewa. Kula matunda baada ya kula chakula masaa -2 au 1 na saa 1 kabla ya mlo.


3. Usinywe chai
- Kwa sababu chai majani hujumuisha maudhui ya juu ya asidi. Dutu hii itakuwa na kusababisha protini katika chakula tunakula kwa asilimia mia kuwa ni vigumu Kuyeyushwa chakula.


4. usiulegeze mkanda wako wa kiunoni baada ya kwisha kula-kuulegeza mkanda baada ya mlo kwa urahisi kusababisha utumbo kuwa inaendelea na imefungwa.


5. Usioge baada ya kwisha kula - Kuoga baada ya mlo itakuwezesha na kusababisha ongezeko la mtiririko wa damu kwa mikono, miguu na mwili hivyo kiasi cha damu kuzunguka tumbo hiyo kupungua, hii kudhoofisha mfumo wa utumbo katika tumbo yetu.


6. Usitembee baada ya kwisha kula - Watu daima kusema kwamba baada ya mlo kutembea hatua mia na utaishi mpaka 99. Katika hali halisi hii si kweli. Kutembea baada ya kula itakuwezesha na kusababisha mfumo wa mmeng'enyo kuwa hawawezi kuyeyusha chakula.


7. Usilale mara moja baada ya kwisha kula chakula - ukilala baada ya kwisha kula, chakula hakita yeyushwa vizuri. Hivyo itasababisha matatizo kwenye Utumbo na maambukizi katika utumbo wako.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kwa mchango wako ila hapo #5 & 6 ni kitu kimoja
Kimsingi mtu akisha kula anashauriwa apumzike walau 30mins kwani mwili ukiwa active, damu huenda kwenye muscles kwa ajili ya respiation ( kutengeneza nguvu) na hivyo kufanya mfumo wa uyeyushaji chakula uende polepole sana.

Swala la kula matunda...huwa ni tricky "in away" kwamba wataalam wengi wanashauri yaliye baada ya muda au kabla ya kula, hii ni kwa kuwa matunda mengi yana uchachu (tartaric acid) na pale tumboni kuna Acid tayari kutoka kwa gastric juice inayotoka kwenye kuta za tumbo; hivyo kama utakula matunda yenye acid nyingi (machachu) unaweza kupelekea mfumo wa digestion usiende vizuri na hivyo kukuletea kiungulia.
Kama matunda hayana acid nyingi (mf. mapapai) sio mbaya ila jitahidi uyake katika room temperature na sio unakunjwa juice au matunda au hata soda ume freeze wakati ndio umemaliza kula chakula cha moto. Tumbo huhitaji nguvu ya ziada kupasha tena joto na hivyo unaweza pata kiungulia. Note: matunda machachu (sana) ndio yenye acid nyingi
 
na ukisha kula ufunge macho kwani protini hupotea kupitia macho yaliyo wazi.
kabla ya mlo vua nguo zote ili tumbo lisibanwe.
usinywe maji milele maana maji huyeyusha chakula nk nk nk
 
Usile matunda.. usitembee.. usilale... usinywe chai.. usilegeze mkanda... usioge...!!
Sasa ukimaliza kula unatakiwa ufanye nini? Maana naona kila kitu USIFANYE!
 
asante kwa tafsiri sasa nimeelewa,ila sinanichokiweza zaidi ya kujitahidi, chai na kiporo cha ubwawa kwangu ndio mpango mzima!
 
Na kwa wale wazee wa malavidavi ukuingia kwenye game mara tu baada ya kula waweza aibika kwa kucheza chini ya kiwango sababu damu nyingi inakuwa kwenye alimentary canal uume waweza shindwa kusimama.
Kwa hivyo tufanyeje sasa mkuu?
 
Pumzika kuanzia dak 45. Hapo tayari asilimia kubwa ya chakula ipo kwenye mwili sio tumboni, hata mwenyewe utajiona upo fit.
Kwa maana kadri unavoacha gepu kubwa baina ya kula na mapenzi ndo damu inaelekea zaidi kwenye uume na kufanya ufanisi uwe mkubwa?

Na vipi kunywa maji kisha hapo hapo ukaenda kitandani?
 
Kwa maana kadri unavoacha gepu kubwa baina ya kula na mapenzi ndo damu inaelekea zaidi kwenye uume na kufanya ufanisi uwe mkubwa?

Na vipi kunywa maji kisha hapo hapo ukaenda kitandani?
Maji hayana shida, ila kunywa kidogo kidogo.
 
Mie naona sasa hii dunia ni mchanganyiko wa mambo yaani kila kitu huyu anasema hiki huyu kile! Siku zote nimekuwa nikifanya mambo vile mwili unataka kama kufa mapema wacha nife sababu siwezi nyima mwili ile kitu inapenda...nikijisikia kunywa maji nitakunywa bila kujali muda gani ili mradi najisikia kufanya hivyo its ok...naamini nguzo kubwa ya uhai wangu ni kile ninachoamini mimi na si maono na mitazamo ya watu wengine...tusiwe wepesi wa kuamini kila tusomacho kwenye mitandao.
Nikika tuu kiberiti na fegi viko karibu yangu, hafu eti don't Mimi hapaba hapa aseee nice tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom