Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,049
- 134,354
Maadili ya Mtanzania mbele
Kumekuwa na wimbi la wadada zetu kupiga picha au kuwa wepesi wa kushawishika kupigwa picha za uchi.
Inashangaza sana Kwa mtu mwenye akili timamu anafikiaje maamuzi haya akijua kabisa hana control na chombo cha mpigaji au mtumiwaji.
Picha ikirushwa kwenye mamitandao zinakuja kesi za "kusitiriana"! Tuwa wakweli, Kama mtu kajitoa ufahamu, anayosifa ya KUSITIRIWA?
Kumekuwa na wimbi la wadada zetu kupiga picha au kuwa wepesi wa kushawishika kupigwa picha za uchi.
Inashangaza sana Kwa mtu mwenye akili timamu anafikiaje maamuzi haya akijua kabisa hana control na chombo cha mpigaji au mtumiwaji.
Picha ikirushwa kwenye mamitandao zinakuja kesi za "kusitiriana"! Tuwa wakweli, Kama mtu kajitoa ufahamu, anayosifa ya KUSITIRIWA?