Ukipendwa, pendeka

Kweli mkuu, niko na mwanamke ambae nilidhani nitamuoa na alijua hilo but nikajashtuka Kama nalazimisha hisia juu yake japo ananipenda sana
Majuzi nilimchana laivu kwamba siko tayar kuoa na nisimpotezee muda ye achek ustaarabu wake!! Naona km hataki kukubaliana na ukweli
 
,,,,,mbaya zaidi wewe unakonda yeye ananenepa,,,,,,hapo ndio utakapoelewa kwanini ccm iko madarakani
 
Wengine ni kunguru hawaelewi maana ya kupendwa lazima warudi majalalani wakachakure chakure. Ukigundua hivyo usipoteze muda wako au utaumiza moyo wako bure.

Kunguru hafugiki. Hayo si maneno ya BAK bali ya wahenga.
Ha ha ha kunguru hafugiki toka sitoki ...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…