Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,967
- 12,951
Kwanza msitiri marehemu, Hii ni kwa wale waliofia nyumbani, muweke katika hali ya usafi (maana wengine roho inapotoka inatoka na takamwili) hivyo marehemu kujichafua. Hakikisha marehemu umemsafisha na umemuweka sawa.
Pili, anza kusafisha mazingira ya pale home.
Wabongo wengi huwa tufanya usafi sehemu za machoni Ila sio zile nyeti ambazo hazionekani kwa watu.
Baada ya kufanya hayo mambo makubwa mawili sasa ndio unaweza kuanza kukola ngolo na kutoa taarifa.
Pili, anza kusafisha mazingira ya pale home.
Wabongo wengi huwa tufanya usafi sehemu za machoni Ila sio zile nyeti ambazo hazionekani kwa watu.
Baada ya kufanya hayo mambo makubwa mawili sasa ndio unaweza kuanza kukola ngolo na kutoa taarifa.