Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Sikumsikia akisema chochote wala kuja na Strategy yeyote kuhusu kutokomeza zero zaidi ya kumtukana PierreUkipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Tokomeza SIFURI inaweza kuondoka na mtuUkipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
kwa hiyo ukiwa unaongea mambo ya air hostage, intrapretinuaa ww ni apeche aloloo ?
shikamoo mchungaji , sijakuelewa jilo ni nn father wa kilutheri ?wewe ni jilo
Jr
shikamoo mchungaji , sijakuelewa jilo ni nn father wa kilutheri ?
Magu anawakosea sana watanzania kumlea huyu bashite lakini Kwa kua ndo mpendwa wake anayemtuma front kuteka na kuuawahindi hawawezi kusema sefuli wanasema jilo
Jr
Hivi hakuna namna tunaweza kumsaidia Pierre amfungulie mashtaka ya kashfa huyu jilo?!wahindi hawawezi kusema sefuli wanasema jilo
Jr
Angekuwa smart angetoa udhuru na kutuma mwakilishi.Pale zero inapoalikwa ili kutokomeza zero, lazima achanganyikiwe na kwenda kwenye 'defence mode', kila aliyealikwa anaonekana kama alialikwa ili kukukejeli kwa zero yako!
nimejaribu wanavyosema wahindi nimecheka sanaa mkuu. asante kwa ufafanuziwahindi hawawezi kusema sefuli wanasema jilo
Jr
Zero brain hakumtaja piere kwa jinaHivi hakuna namna tunaweza kumsaidia Pierre amfungulie mashtaka ya kashfa huyu jilo?!
Ndio maana yule kioo ngozi wao anajaa tu msambwada hahaaaaUkipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero