Ukipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, utapenda kumwambia nini?

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,281
Ukipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Jilbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema, ambaye yupo mahabusu kwa zaidi ya miezi mitatu sasa kwa kesi ya maono utapenda kumwambia nini?
IMG-20170203-WA0015.jpg
 
Ntamwambia sio wananchi wake wa Arusha tu hata sisi wa mikoa mingine tunampenda sana na awe na amani ile ndoto yake aliyoiota ITATIMIA soon.pia tunamuomba Mungu amtie nguvu Mbunge shujaa mbunge asiyeogopa utawala mbunge kipenzi cha watu natamani Lema angekuwa mbunge wangu
 
Ukipata nafasi ya kuzungumza na Mbunge wa Jilbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema, ambaye yupo mahabusu kwa zaidi ya miezi mitatu sasa kwa kesi ya maono utapenda kumwambia nini?View attachment 467002
Nitamwambia abadili style ya siasa, hizi za katafuta umaarufu kwa kufungwa ni ya kizamani, wenzie hawafanyi hivyo na maarufu kuliko yeye, ipo siku atafungwa kweli akitoka akute idadi ya watoto wake imeongezeka, dunia hii siyo ya jana
 
Nitamwambia uzalendo wa kweli uko gerezani hivo aendelee kukomaa tu maana wazalendo wa kweli wote walipitia huko
 
Ntamwambia kama kweli alimsikia Mungu huyu aliye hai, asife moyo amwambie tu kuwa, Bwana, si kama nipendavyo mimi bali mapenzi yako yatimie. Nimeufikisha ujumbe wako, ila sikutegemea yangelinikuta haya, ila Mungu ulieukausha mkono ule wa Mfalme Yeroboam katika 1 Kings 13. Jidhihirishe leo watu wakuogope. 1 Kings 13 : 4 . Usiongeze wala usipunguze neno hapo
 
Abadili staili ya siasa zake nyakati zimebadilika.....zaidi ya yote akumbuke wana arusha wanahitaji maendeleo asipokuwa makini atachokwa mwisho wa siku 2020 watam mwaga.

Kwani kusema.ukweli ni kosa??Au unataka tuwe watu wa kufunga gidamu za watawala.
 
Nitamwambia akumbuke ya Habib Mchange.
Kwa Kiswahili asili inaitwa "irada".

Habib Mchange alielezea "kama tu dinu tu dani".

Wengine huielezea kama "what goes around comes around".

Wale wasiojijuwa na waabudu sanamu huiita "karma".

Tumkumbushe tu kuwa wale waliochapwa magari yao nao Mungu anawasikia vilio vyao.
 
Back
Top Bottom