Ukipata fursa wee piga tu

Polepole mnafiki sana. Katika watu 5 waliokuwa na nguvu kwenye awamu ya Magufuli naye alikuwapo. Ile ndiyo awamu iliyoanzisha kuiba uchaguzi wote, kuteka na kuua wakosoaji, na uchafu mwingine wote. Eti leo hii anaongelea maadili kwenye kuengua wagombea. Pumbavu sana
 
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
Kuiibia nyumba mwenzio sioshida nisawa na babausawa akupe milioni 10 kuomba kupitishwa udiwani hionipesa harali kupigwa kwakua matarajio ya mtoaji nikwenda kupiga baadaye hivyo akipigwa nisawatu.hapo kwapolepole yeanaonakabisa kipofu anaibiwa waziwazi hiosiosawa kiukweri ccm wameipindisha katiba yao wenyewe cc hatunabudi kulalamika walalamike wenyewe sisi nikuona mtifuano hapowatamwaga mboga wengi
 
Giza halifukuzi giza, ni nuru tu inayoweza kufukuza giza. Kama unachukizwa na wizi, rushwa na dhulma anza kwakujitenga wewe na vitendo hivyo ili wengine waone mfano wako.
 
Mkuu hiyo sehemu ya upigaji uliyo pata nishilikishe basi
 
Hayo mambo yapo unyanini na yamehalalishwa kisheria

#Tokamagetonitwendeviwanjani
#usikubalikufaunyanini

NO MERCY
 
Nani alitoa TZS 200,000,000.00?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…