Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Nimeona watu wengi wanadili na pombe, ulevi kwenye uraibu.
Nikujue tu, hakuna uraibu mbaya kama wa chumvi na sukari na kutokujua vyakula vipi natakiwa kula nisipate maradhi.
Huu ni sumu inayomaliza wananchi kwa sasa, tukizika wengine watoto wadogo kabisa.
Ukienda kwa wataalamu, haya mafigo, sijui ini, sijui cancer, wengi tunaamini walevi wa pombe wanaumia sana kwenye hili, lakini kaulize Oceansroad.
Wanaoumia wengine hawajawahi hata kuonja pombe.
Kaulize wale wa figo, asilimia kubwa hawakuwahi kujua pombe mdomoni mwao.
Ndugu mpendwa ktk Bwana, wakati wa kujua sasa na kujitunza mwili wako mwenyewe.
Usipende vitu vya sukari sana wala vyenye chumvi, ukaone wajukuu wa wajukuu zako.
Ubarikiwe na Mungu wetu.
Nikujue tu, hakuna uraibu mbaya kama wa chumvi na sukari na kutokujua vyakula vipi natakiwa kula nisipate maradhi.
Huu ni sumu inayomaliza wananchi kwa sasa, tukizika wengine watoto wadogo kabisa.
Ukienda kwa wataalamu, haya mafigo, sijui ini, sijui cancer, wengi tunaamini walevi wa pombe wanaumia sana kwenye hili, lakini kaulize Oceansroad.
Wanaoumia wengine hawajawahi hata kuonja pombe.
Kaulize wale wa figo, asilimia kubwa hawakuwahi kujua pombe mdomoni mwao.
Ndugu mpendwa ktk Bwana, wakati wa kujua sasa na kujitunza mwili wako mwenyewe.
Usipende vitu vya sukari sana wala vyenye chumvi, ukaone wajukuu wa wajukuu zako.
Ubarikiwe na Mungu wetu.