kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,009
Kwa kawaida kama kuna tatizo lolote lililofanywa na yanga,hutaona kabisa kwenye uchambuzi wa suala kama hilo kwenye page zao ama vipindi vyao.
Sana sana utasikia lawama za jumla jumla tu ooh hizi timu za Simba na Yanga zinafanya ubabaishaji!Ukisikia hivyo ujue ni Yanga ndio wana matatizo hapo.
Kama Simba angekuwa hayuko sahihi kwenye sakata la Morrison, ungesikia maneno ya shobo meengi sana kutoka kwa wachambuzi hawa maandazi.Wengi wao wakiwa clouds.Hata huwa hawafikiri kwa mantiki.
Kitendo cha Senzo kwenda yanga na kushabikiwa kama vile yanga wamesajili binge la striker,ni ishara ya upungufu mkubwa wa uelewa na kuonesha kuwa hakuna mtanzania mwenye akili na uwezo wa kuleta mapinduzi katika mpira.Wanasahau kuwa Senzo ameyakuta mafanikio na hajavuka kiwango cha mafanikio aliyoyakuta.
Kwenye sakata la Morrison yanga walishindwaje kupeleka waraka wa mkataba?Hadi kikao kiahirishwe? TFF hawana huo mkataba,Yanga hana huo mkataba ndio maana hajapeleka, TFF inataka Morrison apeleke mkataba upi ambao ninyi wahusika hamna?
Sana sana utasikia lawama za jumla jumla tu ooh hizi timu za Simba na Yanga zinafanya ubabaishaji!Ukisikia hivyo ujue ni Yanga ndio wana matatizo hapo.
Kama Simba angekuwa hayuko sahihi kwenye sakata la Morrison, ungesikia maneno ya shobo meengi sana kutoka kwa wachambuzi hawa maandazi.Wengi wao wakiwa clouds.Hata huwa hawafikiri kwa mantiki.
Kitendo cha Senzo kwenda yanga na kushabikiwa kama vile yanga wamesajili binge la striker,ni ishara ya upungufu mkubwa wa uelewa na kuonesha kuwa hakuna mtanzania mwenye akili na uwezo wa kuleta mapinduzi katika mpira.Wanasahau kuwa Senzo ameyakuta mafanikio na hajavuka kiwango cha mafanikio aliyoyakuta.
Kwenye sakata la Morrison yanga walishindwaje kupeleka waraka wa mkataba?Hadi kikao kiahirishwe? TFF hawana huo mkataba,Yanga hana huo mkataba ndio maana hajapeleka, TFF inataka Morrison apeleke mkataba upi ambao ninyi wahusika hamna?