Ukiona tabia hii ujue mambo si mambo

Ukiona tabia hii ujue mambo si mambo

bomouwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,149
Reaction score
800
Habari wana jamvi?
Mi nawapa usia tu kwamba ukiona umpendae amekaa siku nzima hakuna sms wala kukubip basi ndo mafuta ya gari yanaishia hapo.
Nawasilisha labda kama una mawazo mengine.
karibu
 
Habari wana jamvi?
Mi nawapa usia tu kwamba ukiona umpendae amekaa siku nzima hakuna sms wala kukubip basi ndo mafuta ya gari yanaishia hapo.
Nawasilisha labda kama una mawazo mengine.
karibu

Theory yako ina assume kila mtu ana girl£riend humu!
 
Sikuizi snema nyingi, mtu anakuwa na mchepuko wake wamejichimbia mahali lakini kila akimaliza round anakucheki kwa sms au anapiga simu mara bby i miss you oh mara bby nikuletee pizza leo mara bby nimekununulia zawadi na usanii mwingine mwingi. Haya mambo hayana formula mkuu
 
Mapenzi sio SMS na kupigiana simu tu...
 
Habari wana jamvi?
Mi nawapa usia tu kwamba ukiona umpendae amekaa siku nzima hakuna sms wala kukubip basi ndo mafuta ya gari yanaishia hapo.
Nawasilisha labda kama una mawazo mengine.
karibu

Vipi ulimtumia vocha?! Au ulimnunulia simu?!!
 
Back
Top Bottom