Ukiona mtu amekaa ....

Ukiona mtu amekaa ....

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
2,175
Reaction score
4,179
Vipi ukiona mtu amekaa ,utaenda kumwambia dada/kaka kaa vizuri ,na uchukulie kuna watu wengi ,mi nilimtazama nikamuashiria sa sijui akunifaamu,nikageuka na sikurudi tena mpa sheree zimeisha
 
Vipi ukiona mtu amekaa ,utaenda kumwambia dada/kaka kaa vizuri ,na uchukulie kuna watu wengi ,mi nilimtazama nikamuashiria sa sijui akunifaamu,nikageuka na sikurudi tena mpa sheree zimeisha
FB_IMG_1745925583496.jpg

NO Reform No Election
 
Sijaelewa, kama tuchenji gia angani tujadili hiyo comment ya Nikifa mkewangu asiolewe.

Yani tangu uhuru wazee ndio wanayaona maji ya bomba leo!?

No reform No election.
 
HII NDO ELIMU INAYOTOLEWA NA SERIKALI YA CCM
Tatizo si la CCM.
CCM haiwaambii vijana wakale chips (zinadumaza uwezo wa kufikiria) badala ya ndoilo, udaga
CCM haiwatumi vijana wakashabikie movie za Korea na Uturuki badala ya kujisomea "The Diary of CEO" au "The Art of Writing" au "Conspiracy of the Rich".
Tatizo ni la kizazi hiki.
 
Back
Top Bottom