Ukinyimwa bonus au ukipewa bonus kidogo kazini kwenu (kama umeajiriwa), au kama iliwahi kukutokea uliichukuliaje hali hiyo? La pili, siku nilipolipa kodi ya pango pale Kibangu Dsm ya mwaka mzima ndio siku niliyokwenda kutafuta kiwanja ili nijenge kibanda. Ilikuwa hivi, nilimpa baba mwenye nyumba kodi ile halafu nikasema asante kwa kupokea malipo yangu kwake. Nikaingia ktk chumba kile nikakiangalia na kufikiri sana. Dawa ikawa ni kutafuta kiwanja na kujenga room moja nihamie kiugumu.
Nipeni uzoefu wenu ktk haya mambo mawili kama yamewahi kukutokea, na nini ulijifunza kwa matukio hayo kama mjasiriamali?
Nipeni uzoefu wenu ktk haya mambo mawili kama yamewahi kukutokea, na nini ulijifunza kwa matukio hayo kama mjasiriamali?