PostGE2025 Ukimya watawala ndani ya Jiji la Mbeya

PostGE2025 Ukimya watawala ndani ya Jiji la Mbeya

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
azama hali ilivyo hii leo mapema kabisa asubuhi katika jiji la Mbeya hususani katika maeneo ambayo yamekuwa na mikusanyiko mikubwa ya watu ikiwemo eneo la Kabwe.

Hii inafuatia kuwepo kwa vuguvugu lililokuwa linaendelea mitandaoni kuhusu maandamano ya disemba 09,2025, ambapo hata hivyo serikali imesema hakuna maandamano yoyote yaliyoratibiwa kisheria.

Mapema leo mwandishi wetu Godwill Kamendu amepita maeneo mbalimbali ya jiji la Mbeya kukujuza hali ilivyo.
 
Back
Top Bottom