Habarini za asubuhi
wana Jamiiforums
Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo
wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu
kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa
haraka.
Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo
kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya
au nifanyeje?
Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.
Sawa, pole sana...
Kwani yeye na wewe ni kama nani? wachumba au wapenzi wa kawaida TU?
Mliahidiana nini kwa muda gani? huo muda umisha pita au bado?
Ok, ni vizuri kujua mapema ili kuona mustakabali wako baadae..
subiri kama siku 3 usimtafute uone kama atakutafuta au lah!!
Kujua muafaka ni muhimu lakini sa kamind nini, ndoto zinaweza kutimia hata baada ya miaka mia, pole mtafute tu huna haja ya kuendelea kujiumiza!!!!
Huyo Ni Mbabe Wako Na Sio Mpz Wako.Chunguza majibu ya kukatisha tamaa anayokupa ameshagundua wewe umekufa kwake na hufurukuti so usipoangalia utakuwa mtumwa kwake na raha ya penz hutoiona.So jipe siku za kukaa kimya kusikilizia then toa maamuzi magumu.
wallah achana nae hawa viumbe wenye mkia mbele ni vichomi tu!!
duh hii kali field imeishaAu alikuwa field kwako so muda umeisha? Lol
ha ha ha mikia inakaa nyuma hiyo itakuwa ni ANTENA
una ushauri mzuri
Habarini za asubuhi wana Jamiiforums
Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa haraka.
Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya au nifanyeje?
Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.
Huyo Ni Mbabe Wako Na Sio Mpz Wako.Chunguza majibu ya kukatisha tamaa anayokupa ameshagundua wewe umekufa kwake na hufurukuti so usipoangalia utakuwa mtumwa kwake na raha ya penz hutoiona.So jipe siku za kukaa kimya kusikilizia then toa maamuzi magumu.
Asee umeshajibiwa kama unaona utacheleweshwa na kumsubiria tafta mwingine, hapo akili kumkichwa. unaweza kua na malengo na maisha yako ndio, ila wewe amekupa nafas gan ndani ya nafsi yake?? Anayathamin maisha yake vizur, je wewe upoje moyoni mwake??? Vunja ukimya ujue hatma yako kwake halafu ukimsubir je atakua wako bado????? Sijaelewa kwa nin kakaa kimya either kuna kitu nyuma ya pazia kua muwazi