mtotowatatu
Senior Member
- Jul 31, 2016
- 103
- 58
Wasalaamu wakubwa!!
Binafsi nmekuwa muathirika wa Moja kwa Moja na hiki kinachoitwa "Elimu Burr". Nimuathirika kwa kuwa Ndugu zangu wengi wapo katika shule za Kata.
Wasiwasi wangu upo katika masomo ya sayansi maana muda unaenda na hatujui nini hatima ya wanafunzi wetu.
Katika shule nyingi za kata kwa sasa hakuna walimu wa kutosha wa masomo ya sayansi na baadhi ya shule hawapo kabsa.
Serikali iko kimya na muda unaenda nini hatima ya hawa watoto.
Kabla ya elimu bure walimu wa kujitolea walikuwa wakilipwa na wazazi sasa hakuna maana yake waliopo hawatoshi .
Tusaidiane great thinkers nini future ya hawa maskini katika nchi hii ya viwanda??.
Nawasilisha .
Binafsi nmekuwa muathirika wa Moja kwa Moja na hiki kinachoitwa "Elimu Burr". Nimuathirika kwa kuwa Ndugu zangu wengi wapo katika shule za Kata.
Wasiwasi wangu upo katika masomo ya sayansi maana muda unaenda na hatujui nini hatima ya wanafunzi wetu.
Katika shule nyingi za kata kwa sasa hakuna walimu wa kutosha wa masomo ya sayansi na baadhi ya shule hawapo kabsa.
Serikali iko kimya na muda unaenda nini hatima ya hawa watoto.
Kabla ya elimu bure walimu wa kujitolea walikuwa wakilipwa na wazazi sasa hakuna maana yake waliopo hawatoshi .
Tusaidiane great thinkers nini future ya hawa maskini katika nchi hii ya viwanda??.
Nawasilisha .