Ukimya wa EL balaa

Ukimya wa EL balaa

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,286
Reaction score
6,727
Wako wapi walioko madarakani, kwa waziwazi, walijiunga na kushiriki kwenye "Safari ya Matumaini"? Wamechukua 'form' za kuomba uongozi ngazi mbalimbali kwa chama tawala au vyama vingine? Au wanasubiri Nabii atamke wazi ni njia gani salama (chama) ya kuelekea kwenye matumaini!
 
Tulia, Kishindo utakisikia...

Tarehe 22 Julai, Mfalme wa Safari ya Matumaini anaenda Finland, kisha atarudi haraka...

CUF, CHADEMA na ACT watakuwa mwili mmoja, na hapo sauti kuu toka Mbinguni itasikika, itasema, " HUYU NDIE MWANA WANGU MPENDWA NILIYEPENDEZWA NAE" kisha saa ya ukombozi itafika..nisikumalizie utamu..

CUF washasema wazi, wanamtaka Lowassa, ameonewa, CDM washamtaka, NCCR hawana shida, sasa ni kuunganisha ACT....itakuwa kama MUSA AKIWA KOMBOA WA ISRAEL TOKA MISRI...!!!

Lowassa atakuwa Musa... tusubiri..!!
 
acha kukufuru maandiko ya mungu ndugu. ndo maana waislam hawana uvumilivu na dhihaka kama hii.
 
Tulia, Kishindo utakisikia...

Tarehe 22 Julai, Mfalme wa Safari ya Matumaini anaenda Finland, kisha atarudi haraka...

CUF, CHADEMA na ACT watakuwa mwili mmoja, na hapo sauti kuu toka Mbinguni itasikika, itasema, " HUYU NDIE MWANA WANGU MPENDWA NILIYEPENDEZWA NAE" kisha saa ya ukombozi itafika..nisikumalizie utamu..

CUF washasema wazi, wanamtaka Lowassa, ameonewa, CDM washamtaka, NCCR hawana shida, sasa ni kuunganisha ACT....itakuwa kama MUSA AKIWA KOMBOA WA ISRAEL TOKA MISRI...!!!

Lowassa atakuwa Musa... tusubiri..!!

Dj ameshaapa kamwe hawezi kukaa zizi moja na Zitto
 
Back
Top Bottom