UKIMWI umenikosa kama "Passed Like A Shadow"

UKIMWI umenikosa kama "Passed Like A Shadow"

Al-Hadidy

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
1,413
Reaction score
3,078
Baada ya Incident la miezi kadhaa iliyopita la kugegedana nyama kwa nyama na mhudumu wa Guest House wakati naenda chuo,nilipata stress sana kujiuliza kama kaniacha mzima au kaniachia umeme!!!

Leo nikaamua niuanze mwaka kwa kwenda kupima na majibu yameulipua moyo wangu kwa furaha,Dokta kanipima kasema sina maambukizi na wala sitapata,ila tu nipunguze uzinzi.
Kaniambia pia group langu la damu limenisaidia ni ngumu kudaka virusi,ila wakati nasubiri majibu nilikuwa full jasho kutetemeka daaah

SASA NIPO FREE NO STRESS

Beautiful ones are not yet born
 
Baada ya Incident la miezi kadhaa iliyopita la kugegedana nyama kwa nyama na mhudumu wa Guest House wakati naenda chuo,nilipata stress sana kujiuliza kama kaniacha mzima au kaniachia umeme!!!

Leo nikaamua niuanze mwaka kwa kwenda kupima na majibu yameulipua moyo wangu kwa furaha,Dokta kanipima kasema sina maambukizi na wala sitapata,ila tu nipunguze uzinzi.
Kaniambia pia group langu la damu limenisaidia ni ngumu kudaka virusi,ila wakati nasubiri majibu nilikuwa full jasho kutetemeka daaah

SASA NIPO FREE NO STRESS

Beautiful ones are not yet born
Una uhakika na kipimo cha Dr, pima sehem tatu tofauti ndo uje kuchekelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Incident la miezi kadhaa iliyopita la kugegedana nyama kwa nyama na mhudumu wa Guest House wakati naenda chuo,nilipata stress sana kujiuliza kama kaniacha mzima au kaniachia umeme!!!

Leo nikaamua niuanze mwaka kwa kwenda kupima na majibu yameulipua moyo wangu kwa furaha,Dokta kanipima kasema sina maambukizi na wala sitapata,ila tu nipunguze uzinzi.
Kaniambia pia group langu la damu limenisaidia ni ngumu kudaka virusi,ila wakati nasubiri majibu nilikuwa full jasho kutetemeka daaah

SASA NIPO FREE NO STRESS

Beautiful ones are not yet born
Endelea kujidanganya ,alitumia aina gani ya kipimo?Pima baada ya miezi 3 alafu baada ya miezi 6 tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom