willzkichaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 422
- 190
Kweli ww mzizimkavu. Nahisi hata huyu kachimbuliwa
Sasa Judisi ndo nn? lol
Nimejikuta najiuliza hivi huyu hajapiga maji ya goldi jana kweli?
Kama unaishi Tanzana mjini si mgeni wa katangazo fulani ka haki elimu ambapo jamaa anaingia darasani na kusema ''how are you, kabint kakainuka kwa kujiamini kakasema my name is Judisi....
Tatatizo cku hizi ukisema 'Anatisha' kila mtu atatafsiri kwa aina yake!