BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,046
- Thread starter
- #41
100% itarudi mie nikimpa mwanamke pesa, ila nyie wahuni mahusiano yenu na wanawake yana utata, haijulikani kama umekopesha au umehonga
Ntakamia itarud
100% itarudi mie nikimpa mwanamke pesa, ila nyie wahuni mahusiano yenu na wanawake yana utata, haijulikani kama umekopesha au umehonga
Kuonga sio lazima upateSijala sasa mkuu
Wala hakuna kituSema na ulicholipia hizo hela
kama hakuna kinachoendelea yaniHuu ndio ukweli kabisa.... Tena bora huko maofisini... Sisi huku uswahilini KIEMBE MBUZI ndio balaa... Mtu unamdai na anapita karibu yako na anakusalimia kama kawa... Tena na kiberiti anakuomba awashie sigara...
Ukimkopesha pesa mwanamke mwenye rangi nyeusi na lugha yake ya kwanza ni kiswahili afu siku ya kulipa anajifanya kasahau au anakupiga kalenda samehe tu.
HaujakoseaBila shaka we ni KE
Nilimtongoza-ga miaka iliyopita huko akaninyima papuchi yake nikawa mpole, mwaka jana tumekuja kukutana mawasiliano yakafufuka upya akakopa hela kiasi fulani nikampa, kurejesha akataka kuleta utata kwa kujilegeza legeza akijua nitamshobokea nikumbushie kuhusu kunivulia kyupi - weeeeeeee nilimkomalia ile hela hadi aliirejesha yote japo kwa mbinde sana na mawasiliano akakata.
Ukibugi tu ukamla papuchi deni ndio basi tena
Wapo waaminifuKaka wanawake hawakopeshwagi hela huwa wanapewa hela. Kukopesha mkopeshe mwanaume mwenzio
Sasa mkuu kama ni zuri, changamkia fursa sasa mmalizane naye. Lakini kubali kupoteza nusu millioni kwa kuhemea juujuu.Point yako niwe mstaarabu sema toto zuri
Sio lazima kila mwanamke umle! Wengine wabakishe ili uwe na dada na shemeji! Kila aina ya uhusiano ina umuhimu wake. Wakati mwinge una hitaji kuwa na dada, wakati mwingine unahitaji kuwa na mpenz, na wakati mwingine unahitaji kuwa na rafiki wa kike!
Kuhusu deni lako: Watu wote ni wagumu kulipa madeni. Ila wanawake ndio wagumu zaidi. Cha kufanya, mkumbushe mwambie awe anakulipa laki moja moja kila mwezi kwa miezi mitano. Ukiona anakurembulia ujue anataka mmalizane kishkaji. Wewe ni mtu mzima, sikufundishi cha kufanya.
Kuna dem niliwahi mpa laki mbili baada ya kuona uhusiano unazorota nikamuita nikamwambia ile laki mbili niliyokukopesha nimekusamehe. Potezea wala usijisumbue kulipa... Basi kuanzia hapo tukawa fresh tu... Alikuwa ni class mate wangu.
Utakuwa umefanya la maana. Wema wako utakaomtendea utaandikwa Mbinguni. So you will have nothing lost. Cha muhimu mpigie simu au umuandikie ujumbe kuhusu msamaha wa deni ili awe na amani!Wacha nimsamehe coz mara nyingi nilikuwa natoka nae out msela sana, usela umeisha kisa pesa na sijawai dai maybe anaogopa akinichek ntamdai cjui
Sema baadhi wengine tukikopeshwa tunalipa....... Kutolipa deni ni Sawa na kunyea kambi siku ya kikukuta kurudi tena ngumu sababu ulishaharibuwanawake ni wagumu kulipa aiseee...
Urafiki wa kawaida wa mwanaume na mwanamke ni siasa.Sio lazima kila mwanamke umle! Wengine wabakishe ili uwe na dada na shemeji! Kila aina ya uhusiano ina umuhimu wake. Wakati mwinge una hitaji kuwa na dada, wakati mwingine unahitaji kuwa na mpenz, na wakati mwingine unahitaji kuwa na rafiki wa kike!
Kuhusu deni lako: Watu wote ni wagumu kulipa madeni. Ila wanawake ndio wagumu zaidi. Cha kufanya, mkumbushe mwambie awe anakulipa laki moja moja kila mwezi kwa miezi mitano. Ukiona anakurembulia ujue anataka mmalizane kishkaji. Wewe ni mtu mzima, sikufundishi cha kufanya.
Kuna dem niliwahi mpa laki mbili baada ya kuona uhusiano unazorota nikamuita nikamwambia ile laki mbili niliyokukopesha nimekusamehe. Potezea wala usijisumbue kulipa... Basi kuanzia hapo tukawa fresh tu... Alikuwa ni class mate wangu.