Ukijutia kosa lako ntakusamehe!

Ukijutia kosa lako ntakusamehe!

Mjanga

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2011
Posts
1,238
Reaction score
325
Happy New year to all!
WanaJF naomba majibu kwa maswala haya:
katika mahusiano watu wengi wanaamini mwenza kuomba msamaha na kujutia kosa lake basi msamaha wa kweli unapatikana, lakini hoja hapa ni namna gani unamfanya mwenzi wako atambue kuwa amekukosea au ametenda kosa?
je ni halali kukiri kuwa umekosa kwa sababu tu mwenzi wako anadhani/amini kuwa umekosa hata kama wewe (mtuhumiwa) huoni kama umekosea? na inapotokea umefanya jambo ambalo mwenza wako anaamini ni kosa na wewe unaamini siyo kosa je ni vizuri kuomba msamaha na kukiri kukosa ilimradi tu umridhishe? na endapo hautaomba msamaha, hathari gani inatokea katika mahusiano baina ya watu hawa wawili?

aksanteni sana!
 
Unasema, nisamehe kama nimeku-offend; haliikuwa lengo langu. Maana yake pamoja na kwamba wewe hujaona kosa, kwavile mwenzio amekwazika basi ni vizuri kuomba msamaha. This is my opinion anyway!
 
You take a little and give a little.... (compromise) kama kusema a mere am sorry will bring a smile on her face its a small price to pay, just swallow your pride BUT kumbuka sometimes binadamu..

you give them an inch they take a mile... (misjudging kindness na upole kwa ubwege)
 
mhmh Kaunga na inapotokea mtuhumia analazimishwa kuomba msamaha inakuaje?
naamini majuto ya kweli hutokea bila shuruti!


Unasema, nisamehe kama nimeku-offend; haliikuwa lengo langu. Maana yake pamoja na kwamba wewe hujaona kosa, kwavile mwenzio amekwazika basi ni vizuri kuomba msamaha. This is my opinion anyway!
 
Mkuu naona si sahihi kuomba msamaha kwa kitu ambacho wewe unaona sio kosa kwa kuwa uwezekano wa kulirudia ni mkubwa na hiyo ikitokea mwenzio atajua umefanya makusudi.
 
Tubu tu ulipokosea uifurahishe nafsi yako..It is imposible to please everyone.
 
mhmh Kaunga na inapotokea mtuhumia analazimishwa kuomba msamaha inakuaje?
naamini majuto ya kweli hutokea bila shuruti!

Inategemea; kwenye mahusiano ambapo mmekutana watu wawili wazima kuna uwezekano mkubwa kutofautiana mitazamo. So ikitokea ugomvi ambao chanzo chake ni tofauti ya mitazamo; compromise ni muhimu kwa afya ya hayo mahusiano.

Lkn kama ni accusation kubwa, kwa upande wangu sintakiri kama sijafanya hicho kitu. Ingawa naweza tumia lugha ya kufeel bad kufikiriwa hivyo (but mostly l will feel offended and ask for an apology).
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakuna kitu kibaya kama kutubu kwa maneno na kuendelea kwa vitendo kufanya yale yanayonkera mwenzio, whether unaamini kama ni kosa ama sio kosa. Ustaarabu ni kumshawishi mwenzio kuwa haujakosea ila ni mtazamo tofauti tu na wa kwake. Kuliko kukimbilia kusema sorry na kurudia tena exactly the same thing. Hiyo ni dharau.
 
Ni vizuri kutafuta amani na watu wote, kuomba msamaha hata kama hujakosea hakumaanishi udhaifu bali werevu na hekima!!
 
suppose kosa ni kubwa na unaamini ukikiri ndo umedhoofisha afya ya mahusiano hayo hapa inakaaje?
Lakini ni jambo jema kwa Wanaume kujenga tabia ya kukubali makosa yao kirahisi? mwisho wake ndo yale mambo ya kutiwa kiganjani!

Inategemea; kwenye mahusiano ambapo mmekutana watu wawili wazima kuna uwezekano mkubwa kutofautiana mitazamo. So ikitokea ugomvi ambao chanzo chake ni tofauti ya mitazamo; compromise ni muhimu kwa afya ya hayo mahusiano.

Lkn kama ni accusation kubwa, kwa upande wangu sintakiri kama sijafanya hicho kitu. Ingawa naweza tumia lugha ya kufeel bad kufikiriwa hivyo (but mostly l will feel offended and ask for an apology).
 
Happy New year to all!
WanaJF naomba majibu kwa maswala haya:
katika mahusiano watu wengi wanaamini mwenza kuomba msamaha na kujutia kosa lake basi msamaha wa kweli unapatikana, lakini hoja hapa ni namna gani unamfanya mwenzi wako atambue kuwa amekukosea au ametenda kosa?
je ni halali kukiri kuwa umekosa kwa sababu tu mwenzi wako anadhani/amini kuwa umekosa hata kama wewe (mtuhumiwa) huoni kama umekosea? na inapotokea umefanya jambo ambalo mwenza wako anaamini ni kosa na wewe unaamini siyo kosa je ni vizuri kuomba msamaha na kukiri kukosa ilimradi tu umridhishe? na endapo hautaomba msamaha, hathari gani inatokea katika mahusiano baina ya watu hawa wawili?

aksanteni sana!
Huwezi kujuta na kukiri kwa jambo usilofanya, ila kama umefanya na wewe unaamini ni kosa ni muhimu kujutia hata usipokiri basi ujirekebishe. na kama umefanya na ukaamini kwamba sio kosa nitofauti ya mtazamo jaribu kumuelezea mwenzio kwa mapana kwanini huoni kama ni kosa.lakini utazame linamadhara kwake hilo uonalo sio kosa,kama lina madhara makubwa ya moja kwa moja kwake na katika uhusiano wenu je? zaidi itategemea na issue yenyewe imekaaje. mfano umemkuta mwenza wako anatazama TV ukabadili station bila makubaliano akakasirika na ukagoma kuomba msamaha na kukiri umekosea haiwezi kufanana na pale amekukuta live unachezea makalio ya h/girl kama wewe ni baba, au umefuja pesa mliyokusanya na mwenza wako au umememchoma mikono mtoto kwa kudokoa mboga jikoni.
 
unaweza lazimishwa kukiri kosa lakini huwezi kulazimishwa kuomba msamaha au kujutia kosa,kujutia na kuomba msamaha kunatokana na wewe unajisikiaje kwa kile ulichokifanya.
mhmh Kaunga na inapotokea mtuhumia analazimishwa kuomba msamaha inakuaje?
naamini majuto ya kweli hutokea bila shuruti!
 
Hakuna kitu kibaya kama kutubu kwa maneno na kuendelea kwa vitendo kufanya yale yanayonkera mwenzio, whether unaamini kama ni kosa ama sio kosa. Ustaarabu ni kumshawishi mwenzio kuwa haujakosea ila ni mtazamo tofauti tu na wa kwake. Kuliko kukimbilia kusema sorry na kurudia tena exactly the same thing. Hiyo ni dharau.

Yaani umeisema vizuri sana.
 
Unasema, nisamehe kama nimeku-offend; haliikuwa lengo langu. Maana yake pamoja na kwamba wewe hujaona kosa, kwavile mwenzio amekwazika basi ni vizuri kuomba msamaha. This is my opinion anyway!

Honestly nakupenda sana Kaunga, ww ni mwanamke mwenye busara sana kuliko wanawake wengi na naamini ndoa yako ina amani sana. Nimekuwa nikifuatilia michango yako, so wise. Big up!
 
Happy New year to all!
WanaJF naomba majibu kwa maswala haya:
katika mahusiano watu wengi wanaamini mwenza kuomba msamaha na kujutia kosa lake basi msamaha wa kweli unapatikana, lakini hoja hapa ni namna gani unamfanya mwenzi wako atambue kuwa amekukosea au ametenda kosa?
je ni halali kukiri kuwa umekosa kwa sababu tu mwenzi wako anadhani/amini kuwa umekosa hata kama wewe (mtuhumiwa) huoni kama umekosea? na inapotokea umefanya jambo ambalo mwenza wako anaamini ni kosa na wewe unaamini siyo kosa je ni vizuri kuomba msamaha na kukiri kukosa ilimradi tu umridhishe? na endapo hautaomba msamaha, hathari gani inatokea katika mahusiano baina ya watu hawa wawili?

aksanteni sana!
ni hivi watu wengi sana wamejikita katika haya hasa linapokuja swala la kufanya maamuzi doing the right thing? or the wrong thing...ila amini kwamba its not all about who is right or who is wrong but rather doing the APPROPRIATE thing amini maisha yatakua marahisi sana kwako but what is an APPROPRIATE thing...varies from situations to situations..amin hivyo...ova...
 
Back
Top Bottom