Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Kwanza kabisa natangulia kusema SIIJUI KESHO YANGU lakini siwezi kuwa mnyonge kila siku.
Watanzania tumejengewa dhana potovu sana. Hivi unajua kujiita mnyonge ni kujidhalilisha?
Kama ulikua hujui usipopata changamoto katika maisha utakuwa mjinga tu,ukiishi ukiamini"mimi ni mnyonge" utakuwa mnyonge mpaka kufa,hata ukipewa dili ya milioni 100 utaona ujinga sababu tayari una dhana ya unyonge moyoni mwako.
Jitoe kwenye unyonge leo acha mawazo ya miaka 1800s, nani asiependa maisha mazuri? Nani anapenda kuwa mnyonge kila siku?
Ikiwa watanzania wengi wataendelea kuamini wao ni wanyonge wasiojiongeza badi tuna safari ndefu sana kufikia hata Kenya tu.
Unyonge unafanya mtu anatawaliwa, anadharauliwa,anateswa na kuonewa.
Dhana ya unyonge inapaswa kufa haraka sana, mama Samia naomba uhakikishe hilo ili nchi isonge mbele haraka. Kama unakubali ni mnyonge nyosha kidole juu na unipe mwisho wa unyonge ni ni lini kwako.
Watanzania tumejengewa dhana potovu sana. Hivi unajua kujiita mnyonge ni kujidhalilisha?
Kama ulikua hujui usipopata changamoto katika maisha utakuwa mjinga tu,ukiishi ukiamini"mimi ni mnyonge" utakuwa mnyonge mpaka kufa,hata ukipewa dili ya milioni 100 utaona ujinga sababu tayari una dhana ya unyonge moyoni mwako.
Jitoe kwenye unyonge leo acha mawazo ya miaka 1800s, nani asiependa maisha mazuri? Nani anapenda kuwa mnyonge kila siku?
Ikiwa watanzania wengi wataendelea kuamini wao ni wanyonge wasiojiongeza badi tuna safari ndefu sana kufikia hata Kenya tu.
Unyonge unafanya mtu anatawaliwa, anadharauliwa,anateswa na kuonewa.
Dhana ya unyonge inapaswa kufa haraka sana, mama Samia naomba uhakikishe hilo ili nchi isonge mbele haraka. Kama unakubali ni mnyonge nyosha kidole juu na unipe mwisho wa unyonge ni ni lini kwako.