Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,125
Nimegundua jambo hili dogo sana ila lina effects nyingi katika utafutaji mjini hasa Dar es salaam.
Kwa mara ya kwanza nachongesha kitanda Dar nilimpa tender classmate wangu wa primary, akanifanyia madudu.
Kitanda nilikipata baada ya miezi kama 5 hivi huku ameniwekea chaga feki. Mara ya pili nilimpa kazi ya kupaua ndugu, rafiki na jirani wa nyumbani. Naye hakuwa mwaminifu kazi aliifanya vizuri ila alinifanyia ujanja kwenye mambo ya fedha.
Ni vyema kuwa na mawasiliano ya kawaida tu yahusuyo salamu na kusaidiana kidogo inapobidi tu.
Kwa mara ya kwanza nachongesha kitanda Dar nilimpa tender classmate wangu wa primary, akanifanyia madudu.
Kitanda nilikipata baada ya miezi kama 5 hivi huku ameniwekea chaga feki. Mara ya pili nilimpa kazi ya kupaua ndugu, rafiki na jirani wa nyumbani. Naye hakuwa mwaminifu kazi aliifanya vizuri ila alinifanyia ujanja kwenye mambo ya fedha.
Ni vyema kuwa na mawasiliano ya kawaida tu yahusuyo salamu na kusaidiana kidogo inapobidi tu.