Wasalaamu wakuu!
Katika pilika pilika za hapa na pale nilikutana na mkaka mmoja mtanashati
Wacha yule mkaka atake mazoea na mimi, alinikomalia sana aisee na kwa offer zake kiukweli ikawa ngumu kwangu kumchomolea ombi lake
Basi buana siku moja akaomba friendly game bila hiyana nikamkubalia tumefika sehemu husika mkaka kaandaa pombe kama zote, nikazitosa maana me huwaga sinywi pombe sehemu na wakati huo nina game naogopa kuzidisha nikaingiliwa kunako tigo
Baada ya kuzitosa pombe zake nikamkomandi kuwa awe shapu nina haraka, masikin yule mkaka akawa hajui pa kuanzia sijui maana tumekaa karibia masaa mawili mara apige simu, story sio story hizo nikaanza kuwa na mashaka
Ikabidi nimchokoze nikamsogelea nikamvua shati, kwa mbwembwe hukh namtomasa nikaanza kumuona kidogo anapandisha mzuka
Nikamvuta kitandani nikamtoa nguo zote, hapo ndo nilianza kuwa na mashaka kidudu chake kama cha mtoto wa darasa la tano vile, ila nikawa najisemea sio mbaya maana wapo wenye vidudu vidogo ila wanajua kuvitumia unakojozwa vilevile
Badaada ya mda kipyenga kikalia mmmh! yaani ile najiandaa nikikatikie kidushe jamaaa kamaliza, nikasema isiwe tabu vile vile wacha nikiamushe kama nusu saa vile kidudu la yuyu cha yule bwana hakiamuki
Nikawa nimejilaza pale nachat jamaa kimya mara apige simu mara anaumwa tumbo mwisho wa siku nikamwambia nina sehemu naenda nikaenda zangu kuoga kisha nikamuaga
Ila sasa jamaa anajua kuhudumia yaani pamoja na kwamba hajui mambo yetu yale ila siachi kumtafuta mkaka wa watu
Nawashauri wakaka mtafute hela,, wale sijui kina nani kina Dr. Mwaka wanawadanganya kuwa mtafute madawa ya nguvu za kiume uongo,, nguvu za kiume hela kaka zangu mtashinda sana gym mwisho muambulie kuwa mabaunsa wa watu
Tafuteni pesa, pesa ndo kila kitu mwanaume uwe hata na Toyota kluger jamani,, yaani mimi niendeshe IST na wewe mwanaume uendeshe hiyo hiyo IST ???
Kwa maoni yako mwanaume anaye jielewa anatakiwa awe na vigezo gani ?¿? Ili tujue kwa sababu nyie wanawake mnaweza kuwa mnatafsiri maana ya kujielewa tofautiHamna siyo kwamba nawachukia au nawakandamiza ila nawarekebisha na na kuwaambia ukweli na mbona najua kuwa wapo wanaume wengi tu ambao wanajielewa na wanajiheshimu halafu hata hivyo wanaume ndo mnaongoza kutokuwa na huruma na wanawake kwenye mapenzi
Demiss mwingine katika ubora
Mwanaume anayependa na kujali mke na watoto wake, anayesimamia majukumu yake kama mwanaume yaani kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto wake,Kwa maoni yako mwanaume anaye jielewa anatakiwa awe na vigezo gani ?¿? Ili tujue kwa sababu nyie wanawake mnaweza kuwa mnatafsiri maana ya kujielewa tofauti
hazard cfc ameshakufundisha pombe?[emoji6][emoji6][emoji6]Na mjipange huyu mgeni ni mtoto wa mjini sio kama mie wa nanjirinji
Mkuu kwahiyo umeona uje unianike huku sio feaWasalaamu wakuu!
Katika pilika pilika za hapa na pale nilikutana na mkaka mmoja mtanashati
Wacha yule mkaka atake mazoea na mimi, alinikomalia sana aisee na kwa offer zake kiukweli ikawa ngumu kwangu kumchomolea ombi lake
Basi buana siku moja akaomba friendly game bila hiyana nikamkubalia tumefika sehemu husika mkaka kaandaa pombe kama zote, nikazitosa maana me huwaga sinywi pombe sehemu na wakati huo nina game naogopa kuzidisha nikaingiliwa kunako tigo
Baada ya kuzitosa pombe zake nikamkomandi kuwa awe shapu nina haraka, masikin yule mkaka akawa hajui pa kuanzia sijui maana tumekaa karibia masaa mawili mara apige simu, story sio story hizo nikaanza kuwa na mashaka
Ikabidi nimchokoze nikamsogelea nikamvua shati, kwa mbwembwe hukh namtomasa nikaanza kumuona kidogo anapandisha mzuka
Nikamvuta kitandani nikamtoa nguo zote, hapo ndo nilianza kuwa na mashaka kidudu chake kama cha mtoto wa darasa la tano vile, ila nikawa najisemea sio mbaya maana wapo wenye vidudu vidogo ila wanajua kuvitumia unakojozwa vilevile
Badaada ya mda kipyenga kikalia mmmh! yaani ile najiandaa nikikatikie kidushe jamaaa kamaliza, nikasema isiwe tabu vile vile wacha nikiamushe kama nusu saa vile kidudu la yuyu cha yule bwana hakiamuki
Nikawa nimejilaza pale nachat jamaa kimya mara apige simu mara anaumwa tumbo mwisho wa siku nikamwambia nina sehemu naenda nikaenda zangu kuoga kisha nikamuaga
Ila sasa jamaa anajua kuhudumia yaani pamoja na kwamba hajui mambo yetu yale ila siachi kumtafuta mkaka wa watu
Nawashauri wakaka mtafute hela,, wale sijui kina nani kina Dr. Mwaka wanawadanganya kuwa mtafute madawa ya nguvu za kiume uongo,, nguvu za kiume hela kaka zangu mtashinda sana gym mwisho muambulie kuwa mabaunsa wa watu
Tafuteni pesa, pesa ndo kila kitu mwanaume uwe hata na Toyota kluger jamani,, yaani mimi niendeshe IST na wewe mwanaume uendeshe hiyo hiyo IST ???
Me sio wa dizain hiyo!!!!
Nimependa uchambuzi wako kweli wewe ni kati ya wanawake chache sana ambao wanaume tunawatafuta kwa kusali na kufunga( you are wife material)Mwanaume anayependa na kujali mke na watoto wake, anayesimamia majukumu yake kama mwanaume yaani kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto wake,
Asiyemnyanyasa wala kumsaliti mkewe, mvumilivu na msikivu kwa mkewe na asiyewaza kumuacha mkewe wala kuoa mke mwingine yaani kwake mke mmoja tu anamtosha no matter what the circumstances
Now I know this is hard hasa kwa wanaume wa kiafrika kwa sababu kwenu nyie kufanya hivyo kwa wake zenu mnaona ni kujitesa au labda mnaona kama mnakuwa mnawafavour sana wake zenu
Na mnaona kuwa hawastahili hayo yote kutoka kwenu wakati kiuhalisia hata kwenye maandiko (ya biblia kwa sababu mimi ni mkristo) hayo mambo ni lazima mume amfanyie mke
Ofcourse na mwanamke anatakiwa aheshimu na ajali mume na watoto wake, atimize majukumu yake yote ikiwemo kufanya kazi za nyumbani (kama hana kazi wala biashara ya kumuingizia kipato) na kulea mume na watoto wake, mvumilivu na msikivu kwa mumewe,Nimependa uchambuzi wako kweli wewe ni kati ya wanawake chache sana ambao wanaume tunawatafuta kwa kusali na kufunga( you are wife material)
Swali:
Kama unataka mwanaume awe na vigezo hivyo ..je mwanamke inatakiwa uweje au uwe na Tabia zipi ili Ku deserve kuwa na Mme wa aina hiyo aliekamilika
Achilia mbali kuwa na bikira sababu siyo hoja ya msingi
Sababu akipandacho mtu ndio huwa anakivuna
Nijibu Mp kama hutojali
Una maanisha nini mkuu kwa kusema "Wasingekua wanawachezea?"Yaani wanaume wangekuwa wanatambua thamani ya miili ya wanawake basi wasingekuwa wanawachezea
Kwa MakondaSisi wenye IST tunacoment wapi?
Mama yako nae anatoa kote kote,, au wewe ulizaliwa na mwanaume??Ukiitwa mwanamke toa kotekote
Mwanaume anayependa na kujali mke na watoto wake, anayesimamia majukumu yake kama mwanaume yaani kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto wake,
Asiyemnyanyasa wala kumsaliti mkewe, mvumilivu na msikivu kwa mkewe na asiyewaza kumuacha mkewe wala kuoa mke mwingine yaani kwake mke mmoja tu anamtosha no matter what the circumstances
Now I know this is hard hasa kwa wanaume wa kiafrika kwa sababu kwenu nyie kufanya hivyo kwa wake zenu mnaona ni kujitesa au labda mnaona kama mnakuwa mnawafavour sana wake zenu
Na mnaona kuwa hawastahili hayo yote kutoka kwenu wakati kiuhalisia hata kwenye maandiko (ya biblia kwa sababu mimi ni mkristo) hayo mambo ni lazima mume amfanyie mke
Dhamana ya mwili wa mwanamke anayo yeye mwenyewe.Una maanisha nini mkuu kwa kusema "Wasingekua wanawachezea?"