IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Hawa jamaa wanaingoza kwa Rushwa imetawala sana,huduma ya kupimiwa,na kuunganishiwa umeme bila rushwa hupati kwa wakati.
Tanesco wao kila siku nguzo zimeisha,cha kushangaza unakuta watu wananunua kwa 100000-150000 pesa inaenda kwa MTU binafsi.
Mbaya zaidi ukienda kushtaki wanakuonyesha njia nenda,kwa RM njia ile pale., hawana uwoga hawa jamaa.
Inawezekana mabosi hawajui ila mafundi mnao waamini wanawachafua sana.
Ikitokea shida ya umeme watu wa emergency hawa ndio hawafai hawaji bila kupewa ahadi ya pesa ukijifanya mchumi watakaa hata siku3 hawajafika.
Km unabisha Fanya mchakato wa kuunganishiwa umeme utawaelewa vizuri,au ingia kwenye line zao utajua hawa jamaa walivyo.
Badilikeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanesco wao kila siku nguzo zimeisha,cha kushangaza unakuta watu wananunua kwa 100000-150000 pesa inaenda kwa MTU binafsi.
Mbaya zaidi ukienda kushtaki wanakuonyesha njia nenda,kwa RM njia ile pale., hawana uwoga hawa jamaa.
Inawezekana mabosi hawajui ila mafundi mnao waamini wanawachafua sana.
Ikitokea shida ya umeme watu wa emergency hawa ndio hawafai hawaji bila kupewa ahadi ya pesa ukijifanya mchumi watakaa hata siku3 hawajafika.
Km unabisha Fanya mchakato wa kuunganishiwa umeme utawaelewa vizuri,au ingia kwenye line zao utajua hawa jamaa walivyo.
Badilikeni.
Sent using Jamii Forums mobile app