BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,043
Leo nimepewa taarifa kutoka kwa mpenzi wangu kuhusu mchizi wangu wa kitambo sana since advance till now ni wana sana kwa kila kitu.
Ni mchizi ambaye namwamini sana, siri zangu nyingi anazijua tunashare vingi. Sasa jamaa kumbe anamtaka mpenzi wangu kitambo tu sema shem lenu alikuwa hataki kunambia kwa kuhofia kuvunjika kwa urafiki wetu. Ila ameona imekuwa too much ameamua afunguke.
Ubaya sasa jamaa anampa huyu mpenzi wangu siri zangu ili ampate, ofcourse sikuamini mpaka nilipoona texts za mchizi za toka last year huyu msichana alikuwa anatunza. Na jamaa yuko siriaz anataka mzigo kwa mpenzi wangu, amenambia vingi sana hata siamini kama jamaa mchizi anaweza fanya us*** kama huu. Anatuma mpaka nyeti kwa mpenzi wangu.
Nilikua safari almost mwezi jamaa hapa ndio alikamia mchongo mpenzi wangu akaamua mblock ila jamaa akaendelea komaa kumcheki na namba Tofauti
Wazee wa hekima nipeni ushaurii hapa.
Ni mchizi ambaye namwamini sana, siri zangu nyingi anazijua tunashare vingi. Sasa jamaa kumbe anamtaka mpenzi wangu kitambo tu sema shem lenu alikuwa hataki kunambia kwa kuhofia kuvunjika kwa urafiki wetu. Ila ameona imekuwa too much ameamua afunguke.
Ubaya sasa jamaa anampa huyu mpenzi wangu siri zangu ili ampate, ofcourse sikuamini mpaka nilipoona texts za mchizi za toka last year huyu msichana alikuwa anatunza. Na jamaa yuko siriaz anataka mzigo kwa mpenzi wangu, amenambia vingi sana hata siamini kama jamaa mchizi anaweza fanya us*** kama huu. Anatuma mpaka nyeti kwa mpenzi wangu.
Nilikua safari almost mwezi jamaa hapa ndio alikamia mchongo mpenzi wangu akaamua mblock ila jamaa akaendelea komaa kumcheki na namba Tofauti
Wazee wa hekima nipeni ushaurii hapa.