Kuna watu mnyama paka wanamchukulia POA ila nakuhakikishia ukifungiwa chumba kimoja chenye gypsum board mkanda na nyau huwezi kummudu atakuzidi tu Kama unapinga pinga kwa hoja na Kama unataka silaha sema tukupe silaha gani
Kuna watu mnyama paka wanamchukulia POA ila nakuhakikishia ukifungiwa chumba kimoja chenye gypsum board mkanda na nyau huwezi kummudu atakuzidi tu Kama unapinga pinga kwa hoja na Kama unataka silaha sema tukupe silaha ganiView attachment 1756864
Binadamu kutokuwa na roho ya mnyama ndio pona ya paka, binadamu ana uwezo mala 10000% zaidi kuuwa paka ila je yupo tayari kufanya, je ana roho iyo...hapana.