Ukitimba pale south beach jumapili lazima uenjoy! mm huwa nina attendance nzuri kidogo pale kwa ajili ya hii kitu. Ni kama unakula mdudu ukishushia na grant. Noma aiseee.
Kweli binadamu tunatofautiana, yaani mimi vimbau mbau hata mzee down hashituki, ila kwa hii mibonge, naweze kabidhi kadi ya benki. Sijui lile shindano la bantu figure liliishia wapi, nyie bakini na Lundenga wenu