Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Ingekuwa kavu angefanyaje?hiyo bangi mbichi
angefanya zaid ya hapoIngekuwa kavu angefanyaje?
Mwenzio navuta alafu naenda kwenye kikao cha familia alafu natoa pointiza hatariDahhh!!!
Hii inanikumbushia wakati uleee!!!
Mida ya alasiri nilivuta bangi,nliporudi home nikaanza kusalimi nyumba nzima kwa kuwapa mkono
Broo akanizaba bonge ya kofi
Tangia siku hio sikurudia tena Msuba
Napendaga nyuzi zako
Makoye gete
Sidhani kama ni mbichi labda ilivia choonihiyo bangi mbichi