Ahsante mkuu kwa kunijuza hiliInategemea kuna mada nyingine inakuwa kama kipindi maalumu hivyo mwalikwa analipia udhamini....kama LHRC wanavyofanya kina sungusia,kuna mada nyingine ukiitwa unaweza ukaweka masharti kwamba unahitaji ulipwe gharama ya usafiri chakula na kutoa elimu...ila wengine wanaomba ili wapate platform ya kujitangaza.
50,000 mkuu.Unamaanisha milioni tano au laki tano?