Ukiachwa au kuacha kaa kimya

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,821
11,527
Kama ulikuwa na mpenzi/mme /mke mkiachana kaa kimya kuendelea kumuongea ni kujidhalilisha yaani unakuta mtu kutwa kucha kumsemea mabaya ex wake mara ana kibamia mara yule mchafu mara yuko vile wakati huyo mtu mmeishi nae miaka kadhaa ina maana madhaifu hayo hukuyaona kabla? Hii inakuwa ni dalili kwamba bado unampenda.

Tena unashangaa dume zima linaeneza mambo ya ex wake kwa watu wengine, huu ni ujinga na unakuta unajidhalilisha mwenyewe umeachwa umeacha wewe kaa kimya tafuta mwingi songa mbele, tumia muda huo kurekebisha madhaifu yaliyokufanya mkaachana na mwenzi wako baadala ya kuongea mabaya yake.
 
Kama ulikuwa na mpenzi/mme /mke mkiachana kaa kimya kuendelea kumuongea ni kujidhalilisha huo kurekebisha madhaifu yaliyokufanya mkaachana na mwenzi wako baadala ya kuongea mabaya yake.
Kama ni mwanamke sina tatizo na wewe, lakini kama mwanaume acha mambo ya kike, haya malalamiko yalipaswa yaletwe na mtoto wa kike.
 
mambo ya watu wa dar haya ME analeta mada utazani ndo KE,. japo umeweka ukwel mtupu,.
 
mambo ya watu wa dar haya ME analeta mada utazani ndo KE,. japo umeweka ukwel mtupu,.
Kama ni mwanamke sina tatizo na wewe, lakini kama mwanaume acha mambo ya kike, haya malalamiko yalipaswa yaletwe na mtoto wa kike.
Sijaongelea jinsi moja ila nimeweka msisitizo kwa wanaume maana inatudhalilisha maana mpo sehemu mtu analeta story za ex wake.
 
Kama ulikuwa na mpenzi/mme /mke mkiachana kaa kimya kuendelea kumuongea ni kujidhalilisha yaani unakuta mtu kutwa kucha kumsemea mabaya ex wake mara ana kibamia mara yule mchafu mara yuko vile wakat huyo mtu mmeishi nae miaka kadhaa ina maana madhaifu hayo hukuyaona kabla? hii inakuwa ni dalili kwamba bado unampenda.
Tena unashangaa dume zima linaeneza mambo ya ex wake kwa watu wengine, huu ni ujinga na unakuta unajidhalilisha mwenyewe umeachwa umeacha wewe kaa kimya tafuta mwingi songa mbele, tumia muda huo kurekebisha madhaifu yaliyokufanya mkaachana na mwenzi wako baadala ya kuongea mabaya yake.
Haaaahhaaahhhaaa.... Good lesson... Thanks..
 
Back
Top Bottom