Ukiacha issue za upangaji matokeo

Ukiacha issue za upangaji matokeo

Hii issue ipo siriazi na hali ni mbaya sana huko chini kwenye hizo academy za kuibua vipaji na kwenye uwakala wa wachezaji,na wahusika wa huu uchafu ni watu wazima na wazito wenye nyadhifa zao huko TFF, Bodi ya Ligi, Wabunge,RCs na Mawaziri. Kama una mtoto wako uthithubutu kumpeleka kwenye Academy za ndani.
Kama ni kweli inasikitisha sana.
 
Katika soka letu Tanzania hasa bara ukiacha inshu ya upangaji matokeo kuna hili tatizo la USHOGA linakuja kwa kasi sana.

Soka letu limekua la hovyo sana ukiondoa rushwa, match fixing, upendeleo kuna janga la USHOGA. Wachezaji tunao wazuri ngazi za chini ila kikwazo ni kuja timu za Premier baadhi ya viongozi na "madalali" wanataka vijana watoe "tigo" ndiyo wapate timu, wengine ili ubaki kwenye timu lazima viongozi wa sehemu ya benchi la ufundi wakupelekee moto ndiyo ubaki kwenye timu.

Tunaelekea wapi? Halafu yule Kipa kinda wa Nyuma mwiko aliishia wapi?
Cheki kwanza na Ali Kamwe na Privadinho sidhani kama wako salama
 
Mhhhh
Wale walimwaribu Kabwili jamani
Kabwili huyu hapa, angalia pozi lake:-
Screenshot_20250428_151120_Facebook.jpg
 
Sio tanzania tu iyo ishu ipo duniani kote hasa timu za vijana na watoto !!! Iyo kadhia ishawahi mkuta dele ally mchezaji wa zamani wa england
 
Back
Top Bottom