Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 2,369
- 6,717
Katika soka letu Tanzania hasa bara ukiacha inshu ya upangaji matokeo kuna hili tatizo la USHOGA linakuja kwa kasi sana.
Soka letu limekua la hovyo sana ukiondoa rushwa, match fixing, upendeleo kuna janga la USHOGA. Wachezaji tunao wazuri ngazi za chini ila kikwazo ni kuja timu za Premier baadhi ya viongozi na "madalali" wanataka vijana watoe "tigo" ndiyo wapate timu, wengine ili ubaki kwenye timu lazima viongozi wa sehemu ya benchi la ufundi wakupelekee moto ndiyo ubaki kwenye timu.
Tunaelekea wapi? Halafu yule Kipa kinda wa Nyuma mwiko aliishia wapi?
Soka letu limekua la hovyo sana ukiondoa rushwa, match fixing, upendeleo kuna janga la USHOGA. Wachezaji tunao wazuri ngazi za chini ila kikwazo ni kuja timu za Premier baadhi ya viongozi na "madalali" wanataka vijana watoe "tigo" ndiyo wapate timu, wengine ili ubaki kwenye timu lazima viongozi wa sehemu ya benchi la ufundi wakupelekee moto ndiyo ubaki kwenye timu.
Tunaelekea wapi? Halafu yule Kipa kinda wa Nyuma mwiko aliishia wapi?