Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,977
- 32,282
Habari wanajamvi hili makini la JF DOCTOR.
Kwanza nawashukuru kwani lile tatizo nililowasilisha kwenu la "Kuumwa tumbo baada ya kufanya mapenzi" lilipona kabisa. Hii kutokana na Michango, ushauri na hata baadhi yenu kunielekeza tiba.
Asanteni sana.
Ila leo nimekuja na tatizo lingine:- UKE KUFA GANZI MARA KWA MARA.
Tatizo hili hunikumba saa za Alfajiri.
Na wakati mwingine huambatana na kichomi kikali upande wa kulia usawa wa mbavu.
Nashindwa kuelewa hali hii ya kufa ganzi ni kwangu au hata kuna wenzangu wenye tatizo hilo.
Sikuwahi kutumia dawa, kwani sijui dawa yake.
Nashukuru sana endapo mtanisaidia.
Madame B.
Kwanza nawashukuru kwani lile tatizo nililowasilisha kwenu la "Kuumwa tumbo baada ya kufanya mapenzi" lilipona kabisa. Hii kutokana na Michango, ushauri na hata baadhi yenu kunielekeza tiba.
Asanteni sana.
Ila leo nimekuja na tatizo lingine:- UKE KUFA GANZI MARA KWA MARA.
Tatizo hili hunikumba saa za Alfajiri.
Na wakati mwingine huambatana na kichomi kikali upande wa kulia usawa wa mbavu.
Nashindwa kuelewa hali hii ya kufa ganzi ni kwangu au hata kuna wenzangu wenye tatizo hilo.
Sikuwahi kutumia dawa, kwani sijui dawa yake.
Nashukuru sana endapo mtanisaidia.
Madame B.