UKAWA/CHADEMA KUFUNGA KAMPENI TAR 24.10.2015 NI KURUHUSU GOLI LA MKONO.
Nimekuwa nikitafakari juu ya mpango wa team ya kampeni ya UKAWA kufunga kampeni siku moja kabla ya siku upigaji kura kama hatua inayoweza kuleta changamoto nyingi sana siku yenyewe ya upigaji kura.
Uzoefu wa mikutano mingi ili iweze kufanikiwa viongozi wa chama hasa wa majimbo kata wanahitaji kutumia muda wa kutosha hivyo kwa mtazomo wangu muda huo ungetumika kwa ajili ya siku yenyewe ya Oct 25.2015.
Ieleweke mkutano kama huo watu wanahuduria kuanzia MKURANGA hadi KIBAHA sasa kiongozi huyo atoke saa 12 Jangawani hadi afike kwake itakuwa shida sana.
Mwisho kuna suala la nature ya wapiga kura wetu.Wagombea wengi wanaelewa tatizo la wapiga kura kubadilikabadilika hivyo kutumia muda mwingi ku-deal na watu ambao kimsingi wanakukubali ni ufujaji wa muda.
Ushauri wangu kwa wagombea wa Ubunge na Udiwani ni vema siku ya mwisho ikatumika kuandaa wapiga kura na issue za mawakala na kuzuia mipango ya hongo.
BINAFSI NINGETAMANI KAMPENI ZA MIKUTANO YA HADHARA IFUNGWE TAR.23.10.2015
#mabadiliko#LOWASA#
Adolf Mkono
Nimekuwa nikitafakari juu ya mpango wa team ya kampeni ya UKAWA kufunga kampeni siku moja kabla ya siku upigaji kura kama hatua inayoweza kuleta changamoto nyingi sana siku yenyewe ya upigaji kura.
Uzoefu wa mikutano mingi ili iweze kufanikiwa viongozi wa chama hasa wa majimbo kata wanahitaji kutumia muda wa kutosha hivyo kwa mtazomo wangu muda huo ungetumika kwa ajili ya siku yenyewe ya Oct 25.2015.
Ieleweke mkutano kama huo watu wanahuduria kuanzia MKURANGA hadi KIBAHA sasa kiongozi huyo atoke saa 12 Jangawani hadi afike kwake itakuwa shida sana.
Mwisho kuna suala la nature ya wapiga kura wetu.Wagombea wengi wanaelewa tatizo la wapiga kura kubadilikabadilika hivyo kutumia muda mwingi ku-deal na watu ambao kimsingi wanakukubali ni ufujaji wa muda.
Ushauri wangu kwa wagombea wa Ubunge na Udiwani ni vema siku ya mwisho ikatumika kuandaa wapiga kura na issue za mawakala na kuzuia mipango ya hongo.
BINAFSI NINGETAMANI KAMPENI ZA MIKUTANO YA HADHARA IFUNGWE TAR.23.10.2015
#mabadiliko#LOWASA#
Adolf Mkono