UKAWA yaua BAWACHA na BAVICHA

UKAWA yaua BAWACHA na BAVICHA

Chadema wamekasirika sana Patrobas kuwa mwenyekiti Bavicha, Walikuwa wanamtaka Upendo Peneza. Patrobas ametengwa kabisa na Mbowe
 
Mkuu, hakika Patrobas kashindwa kabisa kuvaa viatu vya John Heche. Kuna mada ilijadiliwa sana humu ambapo ilikuwa inauliza je John Heche kaondoka na BAVICHA? Kama ulipitia uzi ule huwezi kumpamba Patrobas

Unaongelea uzi uliovamiwa na buku 7? Mmeshachelewa sana na sasa subirini kichapo hapo october!
 
Comrade,

Hata wao wameishaanza kulalamika.

Pitia thread hii ili usome malalamiko yao
Thread muanzishe nyie kujijibu mjijibu wenyewe visingizio kwa wengine,

siku hizi mmeishiwa kabisa kitu cha kuwadanganya wananchi iwe kwenye mikutano au JF, mmebaki kupost picha za mzee wa tembo akibeba viroba vya mchanga kuhadaa watu.

PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
 
Mkuu, huoni kuwa harakati za BAVICHA na BAWACHA za sasa zimefifia? Au mpaka uvalishwe miwaninya mbao ndo uone?

Harakati za Halima Mdee Na Patrobas zimezaa matunda kanda ya ziwa na sasa tunajiandaa kushinda kwa kimbunga tu, BAVICHA si ya mwenyekiti tu,vipi kuhusu OLE SOSOPI? Au yeye sio bavicha? Chama kwa sasa limesambaa tz yote na usilinganishe na hilo genge lenu ambali limebakiza mikutano ya jangili kinana tu!
 
Chadema wamekasirika sana Patrobas kuwa mwenyekiti Bavicha, Walikuwa wanamtaka Upendo Peneza. Patrobas ametengwa kabisa na Mbowe

Hivi UVCCM NA UWT zilifia wapi? Au wamebaki kuwa walamba viatu vya wasaka urais na watoa matamko ya kipuuzi tu?
 
Wadau, kwa hali ilivyo hivi sasa ndani ya CHADEMA ni kwamba jumuiya zao ambazo zilikuwa nyenzo muhimu ya kueneza chama za BAVICHA na BAWACHA kwa sasa ni kama zimeshakufa kifo cha mende. Na hii ni kutokana na jumuiya hizo kukosa maarifa ndani ya muungano wa UKAWA. Harakati alizoanza nazo Mwenyekiti wa BAWACHA, HALIMA MDEE kwa sasa hazipo tena. Mwenyekiti wa BAVICHA, PATROBAS naye anaonekana kushindwa kabisa kimbinu na kimkakati na hivyo kutotimiza vema majukumu yake.

Sababu kubwa ya mabaraza haya kushindwa kazi inaelezwa kuwa ni kutokana na mikakati mingi kufanywa na UKAWA hivyo viongozi hawa kujikuta wakielea hewani. Aidha, baadhi ya wachambuzi wanaeleza sababu za kushuka umaarufu kwa mabaraza hayo inatokana na viongozi waliochaguliwa hivi karibuni kwa shinikizo la Mwenyekiti kukosa weledi na maarifa ya kuendeleza jumuiya zao. Kwa sasa wamebaki kuwa bendera fuata upepo.

Damu ya warioba imeanza kukutafuna


swissme
 
hii sio bure umekurupuka!!! hii ni dhahiri laana ya kumdhuru mzee wetu Walioba inakuandama.
 
hata cuf himemezwa na chadema .bila kujuwa cuf wamehingia choo cha kike
 
Wadau, kwa hali ilivyo hivi sasa ndani ya CHADEMA ni kwamba jumuiya zao ambazo zilikuwa nyenzo muhimu ya kueneza chama za BAVICHA na BAWACHA kwa sasa ni kama zimeshakufa kifo cha mende. Na hii ni kutokana na jumuiya hizo kukosa maarifa ndani ya muungano wa UKAWA. Harakati alizoanza nazo Mwenyekiti wa BAWACHA, HALIMA MDEE kwa sasa hazipo tena. Mwenyekiti wa BAVICHA, PATROBAS naye anaonekana kushindwa kabisa kimbinu na kimkakati na hivyo kutotimiza vema majukumu yake.

Sababu kubwa ya mabaraza haya kushindwa kazi inaelezwa kuwa ni kutokana na mikakati mingi kufanywa na UKAWA hivyo viongozi hawa kujikuta wakielea hewani. Aidha, baadhi ya wachambuzi wanaeleza sababu za kushuka umaarufu kwa mabaraza hayo inatokana na viongozi waliochaguliwa hivi karibuni kwa shinikizo la Mwenyekiti kukosa weledi na maarifa ya kuendeleza jumuiya zao. Kwa sasa wamebaki kuwa bendera fuata upepo.

wewe una laana ya kupiga wazee!
 
Ndugu,
Kwa CCM kupata zaidi ya 80% ya viti vilivyopigiwa kura nchini, kweli itakuwa imeshtuliwa sana.

cheki na huu msukule wa nepi ulivyoganda kwenye asilimia 80 wakati kila chaguzi za marudio ccm haijaokota hata kimoja!
 
Wadau, kwa hali ilivyo hivi sasa ndani ya CHADEMA ni kwamba jumuiya zao ambazo zilikuwa nyenzo muhimu ya kueneza chama za BAVICHA na BAWACHA kwa sasa ni kama zimeshakufa kifo cha mende. Na hii ni kutokana na jumuiya hizo kukosa maarifa ndani ya muungano wa UKAWA. Harakati alizoanza nazo Mwenyekiti wa BAWACHA, HALIMA MDEE kwa sasa hazipo tena. Mwenyekiti wa BAVICHA, PATROBAS naye anaonekana kushindwa kabisa kimbinu na kimkakati na hivyo kutotimiza vema majukumu yake.

Sababu kubwa ya mabaraza haya kushindwa kazi inaelezwa kuwa ni kutokana na mikakati mingi kufanywa na UKAWA hivyo viongozi hawa kujikuta wakielea hewani. Aidha, baadhi ya wachambuzi wanaeleza sababu za kushuka umaarufu kwa mabaraza hayo inatokana na viongozi waliochaguliwa hivi karibuni kwa shinikizo la Mwenyekiti kukosa weledi na maarifa ya kuendeleza jumuiya zao. Kwa sasa wamebaki kuwa bendera fuata upepo.

Mtu yeyote asiyewaheshimu wazee huwa namdharau sana.sasa wewe umediliki kumpiga MZEE WARIOBA sijui nikuweke kundi gani huna maana hata kidogo laana iwe juu yako.na kisiasa huu ndio mwaka wako wa mwisho kusikika huna adab laana ya kupiga wazee iwe juu yako maana hata vitabu vinasema Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.kwa umri wa Mzee Warioba ni kama baba yako kwa nini ulimpiga?
 
Ccm oyeeee! Ya BAVICHA NA BAWACHA yanawachokoa eeh!?
Jengeni uvccm yenu acheni kuangalia jirani kala nini, jirani kavaa nini..
 
Back
Top Bottom