UKAWA yamuhofia Zitto

UKAWA yamuhofia Zitto

Habari ya mjini hivi sasa ni fainali kati ya Juventus Vs Barcelona.

Zitto na ACT ishakuwa zilipendwa.

Au una jipya zaidi??

Kama vipi tupe japo la Nkurunzinza.
Unadhani watu woote wanaabudu mpira!
 
mtazunguka na mzigo wenu hadi mwisho wa dunia. no wasaliti ukawa
 
Kama UKAWA wanamwogopa zito, ni kwamba wanajilinda na usaliti wake.

Ikiwa chama cha Zitto kinauwezo na nguvu kubwa, wewe kwa nini usimshauri aendelee solo? Anapungukiwa nini?

UKAWA ilianza bila Zito, imeendelea kuimarika bila Zito na haimhitaji Zito msaliti ili ifaninkiwe.

Fahamu UKAWA wako huru kumkubali ama kumkataa mtu/chama chochote kwa taratibu na misingi yao ambayo wewe hukuwaanzishia na huna mamlaka wala uwezo wa kuibadilisha. Kwa mtazamo huu, huna la kufanya ili kuwalazimisha UKAWA wafanye unachokitaka, kama hawakitaki. Kama zitto ni Mkubwa, mwenye nguvu na chama lake nikubwa kiasi kwamba UKAWA wanaogopa kwa ubora wake, UNGANA NAYE WEWE KWENYE CHAMA CHAKO ILI MSHINDE. Ukawa hawamtaki. Period.
 
mtazunguka na mzigo wenu hadi mwisho wa dunia. no wasaliti ukawa
 
UKAWA wanaogopa usaliti wa Zito usije ukaingia ndani ya UKAWA. Maana ni aheri adui aliye nje kuliko adui unayeishi naye. ACT inajulikana imeanzishwa kwaajili ya kudhoofisha nguvu za upinzani, wapinzani watakapomkubalia adui yao awe kati yao, si watakuwa wamemrahisishia kazi? Abaki huko huko nje ili iwe rahisi kukabiliana naye. Adui aliyemshikilia mwanao ni vigumu sana kumtwanga risasi kuliko adui aliyesimama pekee yake akielekea kumteka mwanao.
 
Anatafuta jukwaa la ''mwenyekiti mwenza wa UKAWA'' ili aitumikie cccm na uhakika wa kushinda ubunge.
UKAWA sio mama huruma,apambane kivyake au aungane na vyama vingine vya kisiasa kama ADC ya Hamad,TLP ya Mrema(japo nasikia na yeye katimuliwa) n.k
 
Ukawa ikizaliwa wakat wabunge wa CDm, cuf,nld na baadh wa kuteuliwa zzk alibak bungeni ili kusaidia akidi, tangu mwanzo zzk aliwapinga na kuwatolea mane no machafu wazwaz ukawa, Leo wamekuwaje watamuuu???
 
Watu hawajui kuweka chuki ktk siasa ni hatari, wao wamekomalia chuki na mtu mmoja wakati kunachama hapo nshu ni ACT na si ZITTO
 
Back
Top Bottom