kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Songea unahujumiwa na Chadema, mmoja wa washirika wa UKAWA.
Leo katika soko kuu Songea kumefanyika mkutano wa UKAWA lakini mwanzo mwisho mkutano huo umetawaliwa na kaulimbiu za peopleeeees, power!. Aidha mwanzo mwisho jamaa walikuwa wananadi chadema tu wakati mkutano tumetangaziwa kuwa ni wa ukawa!
Jana gari LA matangazo lilipita mitaani likiwataka wanachi kujitokeza kwenye mkutano huo wa ukawa, chaajabu sijasikia hata neno ukawa likitajwa!!!
Cha kisikitisha na kuhuzunisha, mahudhurio hayajafikia hata watu 100!
Leo katika soko kuu Songea kumefanyika mkutano wa UKAWA lakini mwanzo mwisho mkutano huo umetawaliwa na kaulimbiu za peopleeeees, power!. Aidha mwanzo mwisho jamaa walikuwa wananadi chadema tu wakati mkutano tumetangaziwa kuwa ni wa ukawa!
Jana gari LA matangazo lilipita mitaani likiwataka wanachi kujitokeza kwenye mkutano huo wa ukawa, chaajabu sijasikia hata neno ukawa likitajwa!!!
Cha kisikitisha na kuhuzunisha, mahudhurio hayajafikia hata watu 100!