Waroho wa madaraka ni CCM ambao wameongoza for the past 50+ years, lakini pamoja na kushindwa kutuletea maendeleo bado wameng'ang'ania kuongoza.
Tambwe Hiza alisema Magufuli naye ni mroho wa madaraka kwani pamoja na upungufu wa walimu alikimbia kufundisha na sasa anagombea URAIS wa JMT.