47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 333
Jamani wanajamvi hamjambo?
Nasikitika sana mke wangu kaniacha kisa mimi niko UKAWA, japo nimemwambia kura ya uraisi ntawapa CCM, ila Leo niko Jangwani, ila mjue mke wangu kashanitema, jamani UKAWA nisaidieni ama nirudi CCM? Kuokoa ndoa yangu?
Jamani niko Jangwani nashindwa kukaa kwa Amani.
Nasikitika sana mke wangu kaniacha kisa mimi niko UKAWA, japo nimemwambia kura ya uraisi ntawapa CCM, ila Leo niko Jangwani, ila mjue mke wangu kashanitema, jamani UKAWA nisaidieni ama nirudi CCM? Kuokoa ndoa yangu?
Jamani niko Jangwani nashindwa kukaa kwa Amani.