UKAWA WATUOMBE RADHI WATANZANIA

UKAWA WATUOMBE RADHI WATANZANIA

Joined
Jun 11, 2015
Posts
5
Reaction score
2
Wanajukwaa, nimeshuhudia sarakasi za ukawa bungeni kwenye uteuzi wa kamati. Haiingii akilini kwa mtu kwenye akili timamu aliyeichagua UKAWA Leo anaambiwa mbunge wa Ukawa hana kiwango cha kuwa kwenye kamati ya PAC na LAAC. Ukawa watuombe radhi wapigakura kwa kutuletea wagombea wasio na viwango na kutuaminisha ktk mabadiliko hewa!
 
Back
Top Bottom