mzee wa misele
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 366
- 46
Sasa mambo yanakaribia kuiva ile safari ya uhakika nje ya CCM naona si muda mrefu mambo yatakuwa byeee.
Hiyo ni operation maalum iliyopewa jina toroka uje itakayopita kwenye kata na vijiji , makamanda wa ukombozi watasambaa nchi nzima ndani ya siku 30 vijijini ili kuhakikisha kwamba CCM wanaondoka madarakani oktoba 25.
Hizo chopa zimegawanyika kikanda Lindi , Mtwara na Pwani hii kanda ya pwani itabeba ujumbe okoa gesi yako sasa( itaongozwa na Tambwe Hiza , ) . Ruvuma, Mbeya na Iringa kanda ya kusini (itaongozwa na Sugu na Msigwa.) .
Kanda ya kati Dodoma , Singida na Morogoro ( itaongozwa na Lissu ) kanda ya ziwa itaongozwa na makamanda sita .
Kanda ya kaskazini itaongozwa na kamanda Ndesamburo akiwa na makamanda sita.
Kanda ya magharibi itaongozwa na Kafulila na kanda ya pwani kati yenye mikoa ya Dar na Tanga itaongozwa na Kubenea , Mnyika na Mdee.
Kazi ndio imeanza upya ndani ya hizi siku 30 tutegemee CCM kusambaratika zaidi.
UKAWA nimewakubali kwa mikakati yenu hii haina tofauti na ile ya uhuru kenyata katika kampeni zake siku 30 za mwisho alitia chopa kumi angani na wafanyakazi elfu nne kutoka kila Kijiji kilichopo Kenya na akashinda kwa kishindo kikubwa.
Hiyo ni operation maalum iliyopewa jina toroka uje itakayopita kwenye kata na vijiji , makamanda wa ukombozi watasambaa nchi nzima ndani ya siku 30 vijijini ili kuhakikisha kwamba CCM wanaondoka madarakani oktoba 25.
Hizo chopa zimegawanyika kikanda Lindi , Mtwara na Pwani hii kanda ya pwani itabeba ujumbe okoa gesi yako sasa( itaongozwa na Tambwe Hiza , ) . Ruvuma, Mbeya na Iringa kanda ya kusini (itaongozwa na Sugu na Msigwa.) .
Kanda ya kati Dodoma , Singida na Morogoro ( itaongozwa na Lissu ) kanda ya ziwa itaongozwa na makamanda sita .
Kanda ya kaskazini itaongozwa na kamanda Ndesamburo akiwa na makamanda sita.
Kanda ya magharibi itaongozwa na Kafulila na kanda ya pwani kati yenye mikoa ya Dar na Tanga itaongozwa na Kubenea , Mnyika na Mdee.
Kazi ndio imeanza upya ndani ya hizi siku 30 tutegemee CCM kusambaratika zaidi.
UKAWA nimewakubali kwa mikakati yenu hii haina tofauti na ile ya uhuru kenyata katika kampeni zake siku 30 za mwisho alitia chopa kumi angani na wafanyakazi elfu nne kutoka kila Kijiji kilichopo Kenya na akashinda kwa kishindo kikubwa.