ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,116
Mgombea urais wa Ukawa pamoja na mwenyekiti mwenza wa Ukawa James Mbatia wameingilia Uhuru wa mahakama kwa kuzungumzia kesi zilizo mahakamani na pia kuna watu wamefungwa kihalali na rifaa mpaka mahakama ya juu kabisa imetupwa. Kwa nini wasikamatwe?