Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
urafiki wa chadema na cuf ni wa mashaka sana kama ule wa kima na mamba
kiitikadi hawaendani cuf chama cha kidini cha waisam wenye siasa kali a.k.a UAMSHO
chdema chama cha mlengo wa kikristo na kichaga wakati cuf wapemba
mimi nawapa wiki mbili tu za URAFIKI WA KINAFIKI
R.I.P UKAWA
Hapo kila chama kinaagenda yKe ya siri siunajuwa wa bongo
Thred hii ni uongo kabisa mm ni kati ya wana UKAWA na hadi sasa tupo imara zaidi hakuna kitu hicho.Ahsante.
Waosha vinywawa Lumumba mlipotea sana...naona sasa mmerudi tena!!
Ni baada ya kuchelewa kuwasili katika mkutano wao ulioandaliwa ikiwa ni siku moja baada
ya kususia kikao cha Bunge la Katiba. Mkutano huo ulianza saa 4:18 ukiongozwa na
Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahimu Lipumba baadaye wajumbe walianza kuhoji alipo
kiongozi wao Freeman Mbowe.
Aliyekuwa wa kwanza kuhoji alipo Freeman Mbowe ni Profesa Abdallah Safari alisimama na
kuhoji alipo Mbowe hatua ambayo ilizusha minong'ono kwa baadhi ya wajumbe. Ilibidi Prof
Lipumba aanze kumpigia simu Mbowe ndipo akampata kwa shida. Hii inaonyesha alishakimbia
kikao hicho, kwani hata hivyo wajumbe wengi wa kikao hicho walikuwa wanachama na wafuasi
wa CUF na sio CHADEMA.
Mandla.
Ni hatari sana mtoto wa kiume ukiwa na mawazo hayo au bado unakaa kwa shemeji?
ukawa imesambaratika kabla hata haijaanza.. muungano wowote utakaoishirikisha chadema lazima ufeli
urafiki wa chadema na cuf ni wa mashaka sana kama ule wa kima na mamba
kiitikadi hawaendani cuf chama cha kidini cha waisam wenye siasa kali a.k.a UAMSHO
chdema chama cha mlengo wa kikristo na kichaga wakati cuf wapemba
mimi nawapa wiki mbili tu za URAFIKI WA KINAFIKI
R.I.P UKAWA