Pre GE2025 Freeman Mbowe ashauriwa akichaguliwa amteue Tundu Lissu kwenye uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,620
13,358
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA.

Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21

Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.

Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.

Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.

Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.

Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.

Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.

Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.

Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
 
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema.

Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21

Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.

Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.

Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.

Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.

Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.

Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.

Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.

Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
Daah mkuu Molemo upo? It's been so long hatujasomana humu...hatimae ili saga limekufukua ulikokua 😂😂😂😂

Kila la kheri CHADEMA tunatarajia uchaguzi utakua huru na haki.... kelele za kumwambia Mbowe ajitoe si demokrasia.

CC: paschal mayalla JokaKuu Mag3 et al
 
sampuli ya wahojiwa ilikuwaje? Mbona habari nusu nusu? Walihojiwa wangapi kutoka hizo kanda tajwa? ni wangapi walisema watamsapoti Mbowe na wangapi walisema lisu. Hivyo hivyo ni kati wajumbe wangapi waliowakataa wote. Wachunguzi wa mambo, ni akina nani hao? hawana majina, Identity au ni anonymous?
 
Daah mkuu Molemo upo? It's been so long hatujasomana humu...hatimae ili saga limekufukua ulikokua 😂😂😂😂

Kila la kheri CHADEMA tunatarajia uchaguzi utakua huru na haki.... kelele za kumwambia Mbowe ajitoe si demokrasia.

CC: paschal mayalla JokaKuu Mag3 et al
Nipo mkuu wangu Lusungo.
Tuna wajibu wa kuhabarisha umma yanayoendelea
 
Hii kitu ilivyokaa na maneno ya Lissu ni ether awe awe mwenyekiti asafishe wote waliopo au asiwe mwenyekiti akae pembeni. Kwa kauli zake akiteuliwa kitengo chochote na yeye tutamuona alikuwa anafanya na kuongea usanii.
 
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema.

Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21

Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.

Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.

Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.

Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.

Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.

Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.

Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.

Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
Tuondolee porojo
 
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema.

Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21

Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.

Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.

Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.

Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.

Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.

Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.

Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.

Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
Huo utafiti unatia shaka kubwa. Siwezi kuongelea baadhi ya kanda maana sina uhakika. Lakini madai kuwa Mbowe anaungwa mkono zaidi na Kanda ya Nyasa, huo ni uwongo.

Wajumbe kutoka Kanda ya Nyada, wanaomwunga mkono Mbowe, hawawezi kufika 50%. Wajumbe wengi ambao wanafahamika, tena kwa majina, toka Kanda ya Nyasa, wanamwunga mkono Lisu, isipokuwa viongozi ngazi ya kata na wenyeviti wa mkoa.
 
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema.

Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21

Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.

Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.

Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.

Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.

Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.

Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.

Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.

Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
Lissu amejiondoa mwenyewe kwenye uongozi CDM, ningekuwa Mbowe nisingempa hata ujumbe wa CDM kwenye shina.
 
Daah mkuu Molemo upo? It's been so long hatujasomana humu...hatimae ili saga limekufukua ulikokua 😂😂😂😂

Kila la kheri CHADEMA tunatarajia uchaguzi utakua huru na haki.... kelele za kumwambia Mbowe ajitoe si demokrasia.

CC: paschal mayalla JokaKuu Mag3 et al

...Chadema wanahitaji Mwenyekiti atakayewezesha chama kuungwa mkono zaidi, anayesemwa vizuri, na kukubalika na Watanzania walio wengi.
 
sampuli ya wahojiwa ilikuwaje? Mbona habari nusu nusu? Walihojiwa wangapi kutoka hizo kanda tajwa? ni wangapi walisema watamsapoti Mbowe na wangapi walisema lisu. Hivyo hivyo ni kati wajumbe wangapi waliowakataa wote. Wachunguzi wa mambo, ni akina nani hao? hawana majina, Identity au ni anonymous?
Tunakushukuru, tutakuja na idadi kamili muda siyo mrefu.Endelea kutufuatilia
 
Hii kitu ilivyokaa na maneno ya Lissu ni ether awe awe mwenyekiti asafishe wote waliopo au asiwe mwenyekiti akae pembeni. Kwa kauli zake akiteuliwa kitengo chochote na yeye tutamuona alikuwa anafanya na kuongea usanii.
Naamini yote yanazungumzika kwa maslahi mapana ya Chadema
 
...Chadema wanahitaji Mwenyekiti atakayewezesha chama kuungwa mkono zaidi, anayesemwa vizuri, na kukubalika na Watanzania walio wengi.
CHADEMA ni wanachama….hao wanachama ndo wamchague mgombea wanayeona atawafaa….. the only option Lissu anaweza tumia kuonesha anakubalika ni hii ya kupigiwa kura kwa kishindo sio kumfanyia bullying Mbowe kwa namna hii.
 
Huo utafiti unatia shaka kubwa. Siwezi kuongelea baadhi ya kanda maana sina uhakika. Lakini madai kuwa Mbowe anaungwa mkono zaidi na Kanda ya Nyasa, huo ni uwongo.

Wajumbe kutoka Kanda ya Nyada, wanaomwunga mkono Mbowe, hawawezi kufika 50%. Wajumbe wengi ambao wanafahamika, tena kwa majina, toka Kanda ya Nyasa, wanamwunga mkono Lisu, isipokuwa viongozi ngazi ya kata na wenyeviti wa mkoa.
Mkuu Data ndizo zinazozungumza, unaweza kuja na Facts kupinga utafiti wetu
 
Pamoja na ulevi, uhuni na kushindwa masomo bado naona DJ (sijui aliitwa DJ nani) atashinda kwa kishindo hasa kwa msaada wa Joy kuwafikia wajumbe , Joy huyu huyu ambae alipigana na DJ Dodoma na boss kuanguka baada ya kulewa chakari na kuanzisha ugomvi akiwa hajitambui. Akaita ambulance na kudai kavamiwa na majambawazi!!

I do not care to read sijui utafiti wala utabiri wa mtanange huu but I know what will happen kwa uzoefu wetu wa chaguzi za bongo za Daudi na Goliath!!

In the name of God I am always honest, wallah I do not see mpyampaa kushinda uchaguzi maana nina hakika DJ ana mizizi mirefu mno nje na ndani na lazima atafanya figisu za Dunia nzima na atashinda na kuweka sacoss yake kwenye himaya yake.
 
CHADEMA ni wanachama….hao wanachama ndo wamchague mgombea wanayeona atawafaa….. the only option Lissu anaweza tumia kuonesha anakubalika ni hii ya kupigiwa kura kwa kishindo sio kumfanyia bullying Mbowe kwa namna hii.

..wote wawili wanafanyiwa bullying, na propaganda chafu.

..lakini nikikaa pembeni na kutafakari Chadema ilipo, na inapopaswa kwenda, nadhani Tundu Lissu ni mtu sahihi.

..Ni matumaini yangu kwamba Wajumbe nao watafanya tarakuri ya kina, na kupiga kura kwa maslahi ya mapana ya chama na taifa kwa kumchagua Tundu Lissu.
 
Back
Top Bottom