Siku ukawa wakijibu mapigo taifa litazizima,ukawa ni chama kubwa sana,kwa hiyo wana ukawa msiwe na wasisi kabisa,siku ya kumtangaza mgombea wetu tutajibu mapigo kwa kiwango cha juu sana,wasano watapaform wengi tu,tutaruka live siku nzima tv zote
Hujaijua Tanzania ndugu,wala wanasiasa hujawajua ila unajitahidi tu kushabikia,ni vyema kwa mtazamo japo songa mbele kutafuta maisha,mwanasiasa yoyote hupanga maneno ikiwa ni sehemu ya ajila yake kusaka ridhiki ya familia yake kama vile sisi wengine tuamkapo asbh kwenda huku na kule kupigania maisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.