UKAWA wakijibu mapigo, taifa litazizima

UKAWA wakijibu mapigo, taifa litazizima

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Siku ukawa wakijibu mapigo taifa litazizima,ukawa ni chama kubwa sana,kwa hiyo wana ukawa msiwe na wasisi kabisa,siku ya kumtangaza mgombea wetu tutajibu mapigo kwa kiwango cha juu sana,wasano watapaform wengi tu,tutaruka live siku nzima tv zote
 
Hahaaaaa sasa naweza lala usingizi mnono baada ya kupata neno
 
itategemea watatoka vipi. wakituletea akina ???????? imekula kwao
 
Ukawa kwa sasa wamekaa kimkakati zaidi
 
naona team mamvi wanatuunga mkono ukawa..!
 
Naunga mkno hoja pia nnaamn kmya kingi kinamshindo
 
ccm wanapata air time ya bure mtaani tumechoka na ccm empire jamani dah
 
Ukawa njia nyeupe, Ccm imepasuka hakuna ubishi wamejikaza tu wakitoka hapo ni msiba
 
Ni UKAWA tu,siwezi kumpigia kura mtu mwingine yeyote wa ccm hata asimamishwe nani
 
Msemaji wa ukawa ni kafulila usimpe nape nafasi kabisa kaba hata penati
 
October ni zamu ya UKAWA kupewa serikali na wananchi, hiki chama cha kijani kimepewa 50 yrs lkn hamna kitu.
 
Siku ukawa wakijibu mapigo taifa litazizima,ukawa ni chama kubwa sana,kwa hiyo wana ukawa msiwe na wasisi kabisa,siku ya kumtangaza mgombea wetu tutajibu mapigo kwa kiwango cha juu sana,wasano watapaform wengi tu,tutaruka live siku nzima tv zote

Eeh!
Kwa nini unasema haya??? Kimetokea nini? Naona una kawivu fulanii hivii!
 
Ndugu watanzania tulimuona kikwete wa CCM mwaka 2005 hata alifikia hatua ya kusema anawafahamu wala Rushwa wakubwa wa nchi hii na wafanyabiashara wa madawa ya kulevya,na ataleta maisha bora kwa kila mtanzania kwa nguvu,ari na kasi mpya,kila mmoja wetu ajiulize nini kimetokea na kinaendelea ktk Taifa letu,Tumeshuhudia Bungeni wabunge wa CCM wakipitisha sheria kandamizi kwa wananchi na si kutunga sheria huku kila kitu wanasema ndiyo hata kinachokwenda kuuwa wananchi.NARUDIA TENA WATANZANIA TUSIRUDIE MAKOSA YA NYUMA.TUTAONEKANA MBUZI KAMILI KABISA.CHAGUA UKAWA kwa Ukombozi wa nchi hii.
 
Ndugu watanzania tulimuona kikwete wa CCM mwaka 2005 hata alifikia hatua ya kusema anawafahamu wala Rushwa wakubwa wa nchi hii na wafanyabiashara wa madawa ya kulevya,na ataleta maisha bora kwa kila mtanzania kwa nguvu,ari na kasi mpya,kila mmoja wetu ajiulize nini kimetokea na kinaendelea ktk Taifa letu,Tumeshuhudia Bungeni wabunge wa CCM wakipitisha sheria kandamizi kwa wananchi na si kutunga sheria huku kila kitu wanasema ndiyo hata kinachokwenda kuuwa wananchi.NARUDIA TENA WATANZANIA TUSIRUDIE MAKOSA YA NYUMA.TUTAONEKANA MBUZI KAMILI KABISA.CHAGUA UKAWA kwa Ukombozi wa nchi hii.
Hii ndiyo habari iliyobaki. UKAWA ndiyo matumaini mapya.
Mvinyo mbovu ni mbovu tu, hata kama utabadilishiwa chupa mpya.
 
Back
Top Bottom