UKAWA waijibu BAKWATA: Taarifa kwa vyombo vya habari

juzi chadema kupitia mwanasheria wao tundu lisu kawatukana viongozi wa dini halafu bado anaongea bangi zake tena.

Hawa hawa viongozi wa dini ambao kikwete alituambia ni wauza unga? Tundu bana..
 
Kwani bungeni wanajadili rasmu ngapi? Hao wanaotaka 2 nao ni maoni yao cha msingi wakashawishiane kwa hoja atakayeonekana hoja zake za msingi basi waridhiane

we ----- huu si muda wa kutoa maoni,muda wa kutoa maoni ulishapita ,sasa ni muda wa rasnu ya wananchi
 
naona lumumba aka buku saba wameuchangamkia huu uzi

Wapo kazini kama unavyofanya ww unapoamka kwenda kwenye shughuli zako, kwa hiyo hao jamaa wapo makini kuchungulia kila thread inayoanzishwa na kuishambulia.
 
Safi sana majibu stahiki kwa muda muaafaka!
Hatua muhimu sana! Msiache wanafiki wakajifurahisha na kujisikia!
Kuna mahali humu nilishauri UKAWA kuwa na msemaji na Katibu-Kulelekea 2014 &2015.


Wakiambiwa wengine ni wapokeaa Rushwa toka CCm wanalalamika
 
Acha ushabiki kwenye ukweli tuseme ukweli ndugu,mie sioni haja ya wao kutokeenda bungeni ,cha msingi waende wakajadili sisi wananchi tutaona hoja zipi zinamashiko lkn sio kupiga kelele

Tanzania kuna mwananchi anayeweza kupiga Kura kwa uelewa wake mfano kama wewe jitu zima unajificha kwenye shamba la karanga wakati ukweli unaelewa kisa umehaidiwa na ukuu Wa wilaya na nape, kuna tume huru ya uchaguzi wakati ni tume ya ccm wasimamizi Wa chaguzi ni waajiriwa Wa ccm,chukulia mtu kama wewe ndio uwe msimamizi Wa uchaguzi ulivyo na roho mbaya na ya warioba si utapitisha ya ccm tupu ! Hakuna viongozi Wa dini hao ni waganga njaa wapenda pilau ya akina pinda na lowassa waoga tena wakuda!
 
ukawa ni majuha kweli hawana la maana hoja za kitoto zote wanazotoa.

Wamesahau kusema kuwa walitoka Bungeni kwa sababu walimtukana Baba wa Taifa na hivyo waliona aibu ya kuendelea na mjadala.

Pia walitoka kwa sababu Nakala halisi ya Hati ya Muungano iliwasilishwa bungeni.

Na walitoka kwa sababu Waliwatukana wenzao kuwa ni Intarahamwe.
 
kweli kabisa, wanaogopa nini hao UKAWA?

Hivi kweli kwa mtu aliyekamilika asilimia 100 unaweza uliza swali lakipuuzi namna hiyo hembu utujibu hapa uachane na ushabiki uchwara wa kisiasa mosi; ni kwa nini ccm hawaitaki hata kuisikia maoni ya tume iliyoundwa na Rais chini ya Kiongozi mwadilifu Jaji mstaafu Joseph lusinde warioba iliyowasilisha maoni ya wananchi watanganyika,? Pili; unataka Ukawa ambao sisi wananchi ndio tunawaamini tunasadiki wanapigania kile tulichokiwasilisha wananchi ili kiweze kujadiliwa na kutupa kile wananchi tunachokihitaji kwa vile tunaamini katiba ndio moyo wa nchi, Tatu; Ni nani amewapa mamlaka ccm ya kubatilisha maoni ya tume ya wananchi ya tume ya warioba ? Na ni kwa nini wanangangani serikali mbili wakitumia mwavuli wa gharama wakati kero nyingi hazijatatuliwa mwaka wa 50huu na deni la taifa linaongezeka mara dufu chini ya hiyo serikali mbili? Na mwisho wanataka Ukawa warudi bungeni wakajadili rasimu ya ccm wakati ile ya wananchi iliyopelekwa na warioba ccm hawaitaki? Nasimamia neno Kuu Haki huinua taifa na Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Tanzania kuna mwananchi anayeweza kupiga Kura kwa uelewa wake mfano kama wewe jitu zima unajificha kwenye shamba la karanga wakati ukweli unaelewa kisa umehaidiwa na ukuu Wa wilaya na nape, kuna tume huru ya uchaguzi wakati ni tume ya ccm wasimamizi Wa chaguzi ni waajiriwa Wa ccm,chukulia mtu kama wewe ndio uwe msimamizi Wa uchaguzi ulivyo na roho mbaya na ya warioba si utapitisha ya ccm tupu ! Hakuna viongozi Wa dini hao ni waganga njaa wapenda pilau ya akina pinda na lowassa waoga tena wakuda!

Ndugu yangu hayo unayoyasema hata cjawahi kuyafikiria,mie ntazidi kusisitiza cjaona sababu za msingi za ukawa za kutoka bungeni,na mpaka sahivi cjaona sababu inayowafanya wasirudi bungeni! Ni vyema wakaenda wakajadili wenye hoja nzito ndo atakayekubaliwa nini wanachoogopa kurudi bungeni....??
 
Acha ushabiki kwenye ukweli tuseme ukweli ndugu,mie sioni haja ya wao kutokeenda bungeni ,cha msingi waende wakajadili sisi wananchi tutaona hoja zipi zinamashiko lkn sio kupiga kelele

Huo ni unafiki wenye mkia, hivi unaposema wakajadili unajua mfumo wa majadiliano uliopo kwenye BMK?unajua maamuzi yanatolewa kwa mfumo gani? Na wanapojadiliana wanajadili nini?hujui kama ukiibadilisha hiyo mliyoiita moyo wa katiba ambao unazungumzia muundo wa muungano bunge litakuwa halina cha kujadili tena?hujui mtiririko wa ibara zingine unategemea ibara ya 6?sasa watajadili nini kama sio kuandaa rasmu upya?huoni kama mnataka tuendelee kupoteza fedha za walipa kodi bure pasipo na mjadala wenye tija?
Eti ukawa warudi wakajadili wakajidili nini? JK kwanza autangazie umma wa watanzania kwamba BMK likirejea wakajadili rasmi iliyopendekezwa na tume ya Jk ikiongozwa na Jaji Warioba na si vinginevyo.
Maintarahamwe mna bore sana
 
Huo ni unafiki wenye mkia, hivi unaposema wakajadili unajua mfumo wa majadiliano uliopo kwenye BMK?unajua maamuzi yanatolewa kwa mfumo gani? Na wanapojadiliana wanajadili nini?hujui kama ukiibadilisha hiyo mliyoiita moyo wa katiba ambao unazungumzia muundo wa muungano bunge litakuwa halina cha kujadili tena?hujui mtiririko wa ibara zingine unategemea ibara ya 6?sasa watajadili nini kama sio kuandaa rasmu upya?huoni kama mnataka tuendelee kupoteza fedha za walipa kodi bure pasipo na mjadala wenye tija?
Eti ukawa warudi wakajadili wakajidili nini? JK kwanza autangazie umma wa watanzania kwamba BMK likirejea wakajadili rasmi iliyopendekezwa na tume ya Jk ikiongozwa na Jaji Warioba na si vinginevyo.
Maintarahamwe mna bore sana

Mbona povu linakutoka? Twende taratibu utaelewa....waende wakajadili hiyo chapter ya 1 na 6 tuone mwenye hoja,washawishiane kila mmoja kwann anatetea hizo 2 au 3 then atakayemshawishi mwenzie wakubaliane wakishindwa kukubaliana warudi kwa wananchi wawaulize wanataka mbili au tatu? Hiyo mnayosema ni maoni ya wananchi sio kweli,kuna wananchi walitaka 3 wengine 2 wengine 1 na wengine ya mkataba lakini kwa BUSARA ya tume wakaona wasuggest 3 !sasa wewe unayesema maoni ya wananchi yepi?!! Acheni kupotosha uuma
 
Huo ni unafiki wenye mkia, hivi unaposema wakajadili unajua mfumo wa majadiliano uliopo kwenye BMK?unajua maamuzi yanatolewa kwa mfumo gani? Na wanapojadiliana wanajadili nini?hujui kama ukiibadilisha hiyo mliyoiita moyo wa katiba ambao unazungumzia muundo wa muungano bunge litakuwa halina cha kujadili tena?hujui mtiririko wa ibara zingine unategemea ibara ya 6?sasa watajadili nini kama sio kuandaa rasmu upya?huoni kama mnataka tuendelee kupoteza fedha za walipa kodi bure pasipo na mjadala wenye tija?
Eti ukawa warudi wakajadili wakajidili nini? JK kwanza autangazie umma wa watanzania kwamba BMK likirejea wakajadili rasmi iliyopendekezwa na tume ya Jk ikiongozwa na Jaji Warioba na si vinginevyo.
Maintarahamwe mna bore sana

Acha kutokwa povu wewe...jadili nini ambacho hakiwarudishi bungeni? Hiyo rasmu iliyosuggest serikali 3 ni kwa BUSARA ya tume sio maoni ya wananchi......
 
Chama tawala lazima kikumbatie taasisi za kidini ili kiendelee kutawala
BAKWATA NI HOPELESS INSTITUTION IN THIS COUNTRY
 
Back
Top Bottom