hhsmakwato
Member
- Mar 19, 2015
- 97
- 51
Wanajamvi kazi kubwa ifanyike Tanga
Wanajamvi mimi nipo hapa Tanga mjini lakini bado watu wanakariri sisiemu. Hii inaonesha jins gani watu wa hapa walivyolewa na ujinga wa kutoelewa kinachoendelea.
Mytake: UKAWA wafanye jitihada za kuweka mawakala wa uhakika katika kila kituo kwasababu nilipata kuuliza baadhi ya watu wa cuf wakaniambia tatizo kubwa baadhi ya vituo walikuwa hawaweki mawakala kabisaaa. Na uzembe wa kutokuwa makini katika usimamizi huo.
Dogo acha upunguani kuwaita watu na akili zao kuwa wajinga, hebu kuwa na adabu! hako ka-certificate kako kwa ualimu IIIA kasikupe ujeuri! unafikiri watu ni wajinga??? wanajua wanachokifanya, vyama vyenye milengo ya kidini na kikabila kwetu ni big NO, hata mfanyeje hatutakuwa sehemu ya dhambi hiyo!
Yeyote anae ipenda ccm kama sio mnufaika wa mfumo basi ni mchawi kama sio yeye basi bibi yake....
Siyo kweli. Wengine wana integrity na principles tu zinazowaongoza katika maisha yao na kamwe hawapendi kuburuzwa na hisia wala mihemko. Wapo wengi tu nawajua walipenda sana UKAWA ya Dr. Slaa lakini siyo hii mpya iliyotekwa. Mimi nadhani ni haki yao na hakuna sababu ya kuwatukana, kuwabeza wala kuwasimanga. Ndo demokrasia ati!Yeyote anae ipenda ccm kama sio mnufaika wa mfumo basi ni mchawi kama sio yeye basi bibi yake....