UKAWA umejaa mfumo dume, wanawake msiwape kura

UKAWA umejaa mfumo dume, wanawake msiwape kura

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,900
Reaction score
52,036
UKAWA Wagombea uraisi na makamu wake wote ni wanaume.Usawa mnaopigania wanawake na wanaharakati uko wapi?
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.

Enzi hizi ni enzi za usawa.
 
Hahahaahaa yaani saa hizi mtatumia filimbi gani ya kuwabadilisha Watanzania wasiipigie kura UKAWA? tuweni serious sometimes tuache kujifariji
 
Umejitongozesha weee hadi umeamua kulalamika huku. Pole sana na jaribu kuwa na subira mkuu.
 
UKAWA Wagombea uraisi na makamu wake wote ni wanaume.Usawa mnaopigania wanawake na wanaharakati uko wapi?
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.

Enzi hizi ni enzi za usawa.


Mimi ni mwanamke ila kwa kweli bado
bado machungu ya Anne Makinda yapo so hakuna cha Samia wala Salama hapa
 
Mwanamke yupi, Samia, yule aliyeisigina Katiba ya Warioba, kwa mipasho????? Pyuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
 
Inamaana unamtuka rais wako wa sasa na makamu wke?sheria ya mtandao itaanza na ww mtoa mada.mbavooo kabisa
 
UKAWA Wagombea uraisi na makamu wake wote ni wanaume.Usawa mnaopigania wanawake na wanaharakati uko wapi?
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.

Enzi hizi ni enzi za usawa.

ebu kua logical atakidogo unapojaribu kupost. kusimamisha mgombea mwenza mwanamke mtueleze ataisaidia vp Tanzania kutokana na umaskini iliyo sababishiwa na serikali iliopo madarakani
 
wakati ule wanamteua zakia megji kuwa waziri wa fedha, walimshangilia kwa mbwembwe sana, matokeo yake!!! akaja ana makinda yale yale, leo waje na gia hiyo tena, tutakuwa wapumbavu.
 
Wakati wa vita vya ukombozi fursa sawa hazitakiwi kuzingatiwa sana mnaweza kuukosa ushindi. Na hili ndio pengine kosa lililoigharimu ccm kuwafikisha kileleni wale wanawake wawili.
 
Chadema wadini sana 99% ya wagombea ni wakristo.Laana ya Watanzania zitawangukia
 
Ahaaaa YEHODAYA,kwani umesikia kila kitu ni kuigaaa???,Nasubiria thread yako ya kusema "Mbona Tanzania tusiwakubali mashoga na ndoa za Jinsia moja".Usitufundishe Ujinga.
 
Last edited by a moderator:
maendeleo hayaletwi na jinsia yanategemea uwezo wa mtu yaani akili kubwa,ndio maana ccm mmeua uchumi kwa misingi ya kutaka usawa wa kijinsia,usawa wa kijinsia utegemee akili kubwa,
 
Hahahaaaaaa mnajitekenya na kucheka wenyewe hii namba tumeisoma ila ssa mbona hampatikanii?
 
UKAWA Wagombea uraisi na makamu wake wote ni wanaume.Usawa mnaopigania wanawake na wanaharakati uko wapi?
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.

Enzi hizi ni enzi za usawa.


Wewe utagombea wapi?
Mwambie mumeo akupigie kura.
 
Back
Top Bottom