YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,036
UKAWA Wagombea uraisi na makamu wake wote ni wanaume.Usawa mnaopigania wanawake na wanaharakati uko wapi?
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.
Enzi hizi ni enzi za usawa.
CCM imeonyesha njia kuweka usawa Kwa kumweka mwanamke kama mgombea mwenza.Pigieni kura ya ndiyo CCM kupigia kura ya ndiyo UKAWA ni kuupa mfumo dume madaraka.Midume mitupu ikikaa kwenye ofisi kazi yao ni kujadili mambo yao ya kidume na kusahau wanawake.
Enzi hizi ni enzi za usawa.